tonnyalmeida
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 226
- 46
Katika hali ya kushangaza imesikika katika vyombo vya habari daktari mmoja wa bugando aliyetajwa kwa jina la Dr Gilyoma amesikika akisema eti wagonjwa walokosa huduma katika hospitali ya Muhumbili waje Bugando kwa sababu kunahuduma wakati huduma tangu jana zimesitishwa tangu jana na wametoa matangazo hata humu JF tumeyaona na taarifa za ndani znasema mgomo unaendelea.
Huyu Dr Gilyoma ni nani? wadau mnaomjua mtujuze tafadhali.
Na anafanya haya ili iweje?
NAOMBA KUWASILISHA.
Huyu Dr Gilyoma ni nani? wadau mnaomjua mtujuze tafadhali.
Na anafanya haya ili iweje?
NAOMBA KUWASILISHA.