wagagagigikoko
Senior Member
- Dec 5, 2010
- 163
- 49
Napenda kuunga mkono mgomo wa kupandisha gharama za umeme tanzania. Sababu zangu ni hizi:
- kupanda kwa umeme kuna athari kwa makundi yeto, (wakulima, wafanyakazi, wenye kutumia umeme na wasiotumia umeme)
- mgomo utarudisha heshima ya wanzania na kuipa fundisho serikali isiyo na masikio kuwa tunajua haki zetu.
- kutakuwa ni hatua moja mbele ya kupambana na ufisadi tanzania
- kupanda kwa kutapunguza uwezekano wa vijana kujiajiri wenyewe
- kutaongoza umasikini kwa watanzania,
- kutaneemesha tabaka la walionacho na kudhoofisha tabaka la akina kabwela
- ...
- ...
- ...
- ....