Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,695
- Thread starter
- #21
Sawa ila wananchi wanapata tabu sana
Sawa ila wananchi wanapata tabu sana
Yaani madereva wameona wanabanana na bajaji na abiria wamepunguzwa na bajaji hivyo malengo ya bosi hayafiki na hela ya kurudi nayo nyumbna inakuwa haipoDuh! Kazi kweli kweli.
Mwenye akili atakuwa amejifunza, kama ana masikio amesikia na kama ana macho atakuwa ameona, sidhani kama atarudia upumbavu alioufanya, hakuna marefu yasiyo na ncha, watu wamechoka, enzi za ubabe na dhuruma zinaelekea ukingoniMtu from nowhere anatoa amri, pambano la Mpira Simba na Yanga liahirishwe bila hata kuangalia washabiki wanavyoingia hasara ya usafiri, Malazi na viingilio. Pesa za watu DECI nazo zilipotea kwa ubabe pia. Wasikilizwe bila kujali idadi yao.
Hiyo iko wazi maana maeneo ya kabwe pamejaa wasafiri na wapiga debe watawaibia sana abiriana masela wa mbeya walivyo huo mgomo utaambatana na watembea kwa miguu kupigwa roba za mbao.
Mlishazindua ghorofa lenye lift jingine mkuu?Mbeya palikuwa na usafiri mzuri sana wa daladala, pengine kuliko mji wowote Tz ila RC na bajaji zake anataka kuharibu.
Bajaji zimetoka Japan, China na India hazijaletwa na RC.Mbeya palikuwa na usafiri mzuri sana wa daladala, pengine kuliko mji wowote Tz ila RC na bajaji zake anataka kuharibu.