Sasa imepita wiki usafiri unaotumika kutufikisha mjini ni bodaboda na bajaji hali ambayo imepelekea maisha yetu kuwa magumu. Chukulia route ambayo mtu anatumia 800 kwenda na kurudi saizi inabidi uwe na 2000 hadi 3000,, sasa kwa hali hii haya ni mateso kwa sisi raia wanyonge
N.B: Mkuu wa mkoa mpya tunaombz uanzane na hili maana sasa ni kero
N.B: Mkuu wa mkoa mpya tunaombz uanzane na hili maana sasa ni kero