Nikiwa nekanyaga ardhi ya DAR kutoka Arumeru ambako nilikuwa katika uzinduzi wa kampeni za CCC nimekutana na Taharuki kubwa iliyowakumba watumiaji wa daladala kutoka ubungo kwenda Tegeta baada ya madereva wa daladala kuanza mgomo leo asubuhi. Maelfu ya watumiaji wausafiri huo sasa wanazagaa maaeneo haya ya ubungo wasijue la kufanya huku wengine wakianza kutumia usafiri wa NOAH zinazotoza nauli ya TSH 5000 hadi tegeta huku wengine wakipanda malori ya mchanga.
Chanzo kikuu cha Mgomo huu cjakipata ila najitahidi kuwapata madereva ili niweze kufanya nao interview
Chanzo kikuu cha Mgomo huu cjakipata ila najitahidi kuwapata madereva ili niweze kufanya nao interview