Mgomo kupinga mafisadi wanukia nukia

CCM nao wakiitisha maandamano yao ku-counter ya wapinzani, je itakuwaje?

Kwani kaka hapo sasa unataka ku-suggest nini? si tupo kwenye demokrasia bwana,kwahiyo kila mtu/kundi linahaki ya kufanya vyovyote ndani ya sheria na bila kuvunja amani!! kama CCM waki counter,thats fine...provided wanahoja za kufanya hivyo, ama sivyo watazomewa zaidi na kuzidi kujichimbia shimo lao.......hiyo kitu hapo ipo technical kichizi kwani any bad move kwa upande wa CCM wanaweza kujipiga mabao wenyewe!!!
 
Ninachofikiria ambacho wanaweza kufanya will put more pressure than maandamano... Siamini katika "kufofanya kitu" naamini katika "kufanya kitu chenye matokeo siyo kufanya kitu kama alama tu".. tumekuwa na alama nyingi sana zisizoelekeza kokote!

Bingwa nimekuwa nasubiri kuona hicho kitu unafikiria ambacho kitaweka pressure zaidi kuliko maandamo lakini naona jiiiiiii.....................Ahmadinejad kawa booed na wanafunzi Tehran, vitu vinavyonekana vidogo kama hivyo vina impact kubwa hasa kisaikolojia!!!.
Wapinzani do ur thing, wananchi tupo nyuma yenu.
 
Ninaunga mkono maandamano ya kuishinikiza tu, serikali ili iharakishe uchunguzi au hatua za kujibu kikamilifu tuhuma za ubadhirifu, tena maandamano ya kistaarabu yaliyoruhusiwa na kupewa kibali rasmi na serikali, demokrasia ni pamoja na kuheshimu sheria za nchi.

lakini siungi mkono mgomo, ambao utawaumiza wananchi wanyonge wasokuwa na makosa kabisaa, halafu niaaamini kuwa kugoma kazi na makosa hata huko US na UK kwa wafanyakazi wa serikali! Maaana wakigoma hata wafanya kazi wa Muhimbili Hospital watakaoumia sio wanaotuhumiwa ufisadi, bali wananchi wanyonge!
 
Dawa ni kutumia wananchi na TECHNOLOGIA kuwaondoa hawa mafisadi na wala rushwa wanaoofilisi nchi kwa KASI MPYA, NGUVU MPYA, UFISADI UPYA. Kwa kutumia email na simu za mkononi, dawa ni yao ni KU-TEXT "MGOMO NCHI NZIMA, JANUARY 1, 2008" wao wenyewe wataonja joto ya jiwe. Kuanzia leo message zangu zitakuwa "MGOMO NCHI NZIMA, JANUARY 1, 2008." Tumechoka na huu ufisadi wakati sisi wananchi wa kawaida hata kwenda chuo kikuu hatuwezi.

Next time text "MGOMO" kwa mshikaji au ndugu, mpaka kieleweke na hela za wananchi zirudi.

"MGOMO"
NINAONGEA NA WATU WANAO WEZA KUTOA PESA ZA VOCHA ILI KUSAMBAZA UJUMBE HATA KAMA TAREHE IKIPANGWA NYINGINE WATU AMESHAJITOKEZA MTU MMOJA AMEHAIDIWA VOCHA ZA 1.8 MILION NA WENGINE BADO WANA FIKIRIA ,

HIYO KAZI INAWEZEKANA NIMEFANYA MZAA TU NIMEKUBALIWA KUPEWA VOCHA NA MFANYABIASHARA MMOJA MAARUFU TANZANIA.. AMEOMBA NISIMTAJE,

KARIBUNI SANA TUJENGE TAIFA LETU
 
Dawa ni kutumia wananchi na TECHNOLOGIA kuwaondoa hawa mafisadi na wala rushwa wanaoofilisi nchi kwa KASI MPYA, NGUVU MPYA, UFISADI UPYA. Kwa kutumia email na simu za mkononi, dawa ni yao ni KU-TEXT "MGOMO NCHI NZIMA, JANUARY 1, 2008" wao wenyewe wataonja joto ya jiwe. Kuanzia leo message zangu zitakuwa "MGOMO NCHI NZIMA, JANUARY 1, 2008." Tumechoka na huu ufisadi wakati sisi wananchi wa kawaida hata kwenda chuo kikuu hatuwezi.

Next time text "MGOMO" kwa mshikaji au ndugu, mpaka kieleweke na hela za wananchi zirudi.

"MGOMO"

Nijuavyo January Mosi ni sikukuu sasa sijui tutakuwa tunagoma nini? Kula?

Tanzanianjema
 
NINAONGEA NA WATU WANAO WEZA KUTOA PESA ZA VOCHA ILI KUSAMBAZA UJUMBE HATA KAMA TAREHE IKIPANGWA NYINGINE WATU AMESHAJITOKEZA MTU MMOJA AMEHAIDIWA VOCHA ZA 1.8 MILION NA WENGINE BADO WANA FIKIRIA ,

HIYO KAZI INAWEZEKANA NIMEFANYA MZAA TU NIMEKUBALIWA KUPEWA VOCHA NA MFANYABIASHARA MMOJA MAARUFU TANZANIA.. AMEOMBA NISIMTAJE,

KARIBUNI SANA TUJENGE TAIFA LETU


Achana na hawa mafisadi wa pembeni wenye machungu ya kupunguziwa ulaji na mafisadi wapya kina Rostam na genge lake. Kampeni kama hii haihitaji hata vocha ya shilingi elfu kumi kwani kinachotakwa ni kutma katika contact zako halafu nao wawatumie wengine mchezo umekwisha. Ukombozi hauwezi kupitia mikononi mwa wafanyabiashara wetu ambao karibia wote wako turnished na rushwa na upambe kwa mafisadi wa kisiasa. Tanzania hatuna tabaka la kati ama la juu lenye kujiamini kwa dhati kubadili mfumo ambao unalinda uchafu na tamaa zao za utajiri wa haraka. Wote ni longolongo tu kuanzia Mengi hadi mmachinga wa barabarani.

Tanzanianjema
 
Yeah! Strikes zinakubalika kimataifa coz ni njia mojawapo ya kudai haki kidemokrasia.Tanzania sasa inabidi tufikie mahali tudai haki zetu kwa uchungu.Tumedai kwa kutabasamu imeshindikana! sasa tudai kwa uchungu.Let us switch on PEOPLE'S POWER


😒😑😒😑😒😒
 
Back
Top Bottom