Maeneo ya Mwanza: Nimepita maeneo ya Mwanza hotel, eneo ambalo huwa kuna akina mama wengi wenye miavula na meza, ambao huwa wanatoa hizo huduma za fedha kupitia mitandao ya simu, sikuona mteja hata mmoja kwenye meza hata moja. Jambo ambalo siyo la kawaida.Mimi tangu jana bado sijafanya muamala wowote. Nilijiwekea kasalio mapema tangu juzi kwa ajili ya vifurushi na mambo mengine madogo madogo.
Labda baada ya siku kadhaa mbele ndipo na mimi nitaanza kusikilizia maumivu.
Nikikumbuka lile suala la vifurushi kupandishwa bei watu wakasema wanagomea kununua bando ila kilichotokea wananunua huku wanalalamika, hili nalo ni suala la mda tu watu wata adapt situation na wataendelea kutumia huduma za hela kimitandao.Wakuu Kwema!
Hapa mtaani kwetu kumekuwa na kamgomo baridi kuhusu utumiaji wa mihamala ya simu...
Wakutotumia unatosha sana. Huo unakuhusu wewe, mimi na yule.Wakuu Kwema!
Hapa mtaani kwetu kumekuwa na kamgomo baridi kuhusu utumiaji wa mihamala ya simu..
Unaposema unamsaidia mtz wa hali ya chini alafu unajisaulisha ulichosema, uwe unajua au hujui wewe ni _____Wakuu Kwema!
Hapa mtaani kwetu kumekuwa na kamgomo baridi kuhusu utumiaji wa mihamala ya simu...