Mgombea Wangu wa Urais 2015 ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali walizouziwa Viongozi na Wafanyakazi

Apr 27, 2006
26,588
10,364
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz
 
:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
 
Leo umenena,

naona siku hizi macho yamepungua utando, na umeanza kuona jinsi chama chako kilivyopoteza dira! Sio nyumba tu, madini, gesi, bandari, utendaji katika ofisi za serikali. nk

Ni vema pia ukakumbuka Meremeta, the green, airtell vs TTCL, radar, uzio wa ikulu, jengo la bunge, malipo kwa wajumbe wa tume ya katiba, urasimu wizara ya ardhi na nyumba na mengine mengi. Hapo ndo nitakapoamini wewe ni mzalendo wa kweli
 
Vipi mzee wetu J4 mgao wa mjengo ulimpita nini? Maana hii siyo kawaida ya magamba
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz
 
Leo umenena,

naona siku hizi macho yamepungua utando, na umeanza kuona jinsi chama chako kilivyopoteza dira! Sio nyumba tu, madini, gesi, bandari, utendaji katika ofisi za serikali. nk

Ni vema pia ukakumbuka Meremeta, the green, airtell vs TTCL, radar, uzio wa ikulu, jengo la bunge, malipo kwa wajumbe wa tume ya katiba, urasimu wizara ya ardhi na nyumba na mengine mengi. Hapo ndo nitakapoamini wewe ni mzalendo wa kweli

- Unajua nyie mnahitaji kunyamaza kwa sababu kwenye haya maamuzi mlihusika sana, hayo yote uliyoyataja yanapitishwa na Kamati za Bunge kwanza halafu bunge lenyewe ambalo lina Wabunge wa chama chako so hata nyie huko mnahusika!!

Le Mutuz
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

Usihofu andaa kura yako tu wakati ukifika weka vema kwa CHADEMA yote hayo yatapatikana.
 
Le Mutuz,
Unaonekana upo CCM kwa sababu tu ya historia yenu na mlivyo faidi enzi hizo,lakini kiakili haupo huko.Kwa hiyo unamaanisha Magufuli Pombe hafai kuwa mgobea Urais?Pia unaonekana umekata tamaa na Rais Kikwete?
Umechukua hatua gani kama Mccm kwenye vikao halali vya chama kuhusiana na hilo?
Ushauri wa bure, hamia upinzani ili malengo yako yaweze kutimia.
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

Ingekuwa Kanisani tungesema umeanza kuokoka, sasa Karibu kwenye harakati za kupigania haki za za wanyonge, suisahau kumwamsha na Lukosi, Riz1, HamyD, na wale ambao wamepigwa uzezeta hawaoni masuala wanadiscuss personalities, hapa mdogo wangu sasa nimekupata "You have made my day today"
 
Looohhh!! Amna Rais ajaye yeyote atakaye weza fanya hilo. Yalio marahisi sana yamewashinda walio mtangulia na aliyopo madarakani. CCM ni janga la kitaifa kama siyo kimataifa. Kaka @W. J. Malecela njia pekee bila ya kupepesa macho ni kabadili mfumo mzima wa utawala, CCM walipotufikisha panatosha waachie wengine waongoze nchi. Mybe tutaweza fika angalau robo huko tukutakako.
 
Mgombea wa hivyo hayuko CCM...

Uko tayari kumtafuta kwenye pool ya wazelendo wasio na mawaa ya ufisadi wa kupindukia kama wa ndugu zako wa CCM?
 
That is very good. hakuna kitu huwa kinaniuma kama kuuzwa kwa hizo nyumba, tena kwa bei ya kutupa wakati nyumba nyingi ziko kwenye prime area.
 
Mkuu,

Naona kadri siku zinavyokwenda unakua KI-AKILI badala ya KIMWILI!

Hongera kwa kuanza kujitambua!
 
Umenena vizuri kijana. Lakini unajua kabisa CCM hakuna mtu atakayethubutu kutengua ya watangulizi wake maana naye ana yake anaogopa kuumbuliwa. Je, utamuunga mgombea huyo hata kama si kutoka CCM? Kama laa, basi kijana unatuuzia chai tu hapa.
2015 ni mwakani tu, thread hii tutaweza kuirejea wakati utakopkuwa unamuunga huyo mgombea tuoene kama kweli unatenda unayosema. Wasiwasi wangu ni vijana wengi CCM mnasumbuliwa na tamaa ya kuwa madarakani, kwa hiyo mnayumbishwa na makundi ya wagombea watarajiwa 2015.
 
Mkuu,

Unachokisema wewe hakiwezi kutekelezwa na Mtu mgombea atakayetoka CCM, kwa sababu walishiriki moja kwa moja na uuzwaji ule na wengi wao ndiyo walionunua zile nyumba kwa bei ya Kutupa.

Je unataka kutuambia Mgombea wako atazirudisha zile nyumba vipi??? Je kama wanaCCM karibu wote wlinufaika na Zile nyumba huenda akiwemo Mzee Malecela, atakubali kumpigia debe? Nyumba nyingi zilichukuliwa na Wafadhili wakubwa wa CCM, je CCM ina ubavu wa kuwatosa, hasa ukizingatia kwa sasa CCM iko hoi kiuchumi?

Sidhani kama kuna mtu au Kiongozi ndai ya CCM ana huo ubavu labda baada ya CCM kuwa Chama cha Upinzani kwa miaka isiyopungua 30-40 ndiyo itakuja generation ambayo haijachafuka.
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

kwa mara ya kwanza nipo upande wako.hongera kwa mtizamo chanya.
 
Ingekuwa Kanisani tungesema umeanza kuokoka, sasa Karibu kwenye harakati za kupigania haki za za wanyonge, suisahau kumwamsha na Lukosi, Riz1, HamyD, na wale ambao wamepigwa uzezeta hawaoni masuala wanadiscuss personalities, hapa mdogo wangu sasa nimekupata "You have made my day today"

Siyo rahis kutoka huko ndugu....

Ulishaona wapi msukule ukajinasua wenyewe?? Ila ukitoka mmoja kama huyu Le Mutuz nadhani mingine inaweza kutoroka pia!
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom