- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.
- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?
- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!
Le Mutuz
Alitupa jiwe bahati mbaya likagonga na kumrudia, ngeuMwisho wa siku aliyeuza ndo alikuja kuwa mgombea wako.
Tucheke kihutu ...............................- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.
- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?
- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!
Le Mutuz
@w.j malecela unakumbuka hii ???
hawezi kukumbuka..now anakula pensheni yake karibu na DAB..ametumia ule msemo wa " if you can't beat the join them"@w . j malecela unakumbuka hii ???
Sasa hv ni mpigazumari wa naibu bashitehawezi kukumbuka..now anakula pensheni yake karibu na DAB..ametumia ule msemo wa " if you can't beat the join them"
na sijui kama siku hizi yupo humu JFSasa hv ni mpigazumari wa naibu bashite
Ngoja nimtumie hii kitu kulekule insta akinishtaki kwa bashite potelea mbalina sijui kama siku hizi yupo humu JF
hili kaburi hili sijui ni inchi ngapi kwenda chini!!!!!Ingekuwa Kanisani tungesema umeanza kuokoka, sasa Karibu kwenye harakati za kupigania haki za za wanyonge, suisahau kumwamsha na Lukosi, Riz1, HamyD, na wale ambao wamepigwa uzezeta hawaoni masuala wanadiscuss personalities, hapa mdogo wangu sasa nimekupata "You have made my day today"
Na kura akampa na sifa akammwagiaMwisho wa siku aliyeuza ndo alikuja kuwa mgombea wako.
sawa mkuu..angalia central isije ikakuhusu au tukakukuta kwenye sandarusi coco beachNgoja nimtumie hii kitu kulekule insta akinishtaki kwa bashite potelea mbali
tena mkuu iweke wazi kabisa kila mtu aione lakini nakushauri utumie fake id kule kama unayosawa mkuu..angalia central isije ikakuhusu au tukakukuta kwenye sandarusi coco beach
unajua jiwe alikuja na sera nzuri sana 2015 wakati wa kampeni ambapo aliwateka watu wengi..ndo mana hata jana wafanya kazi kule iringa wamebaki mdomo wazi baada ya jiwe kusema hatoweza kuongeza mshahara wakiti kipindi cha kampeni aliwaahidi kuongeza...ninacho mlaumu le mutuz ni kwanini ameshindwa kusimamia msimamo wake!!!!Na kura akampa na sifa akammwagia
Ninayo fake idtena mkuu iweke wazi kabisa kila mtu aione lakini nakushauri utumie fake id kule kama unayo