Mgombea Wangu wa Urais 2015 ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali walizouziwa Viongozi na Wafanyakazi

- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz
Samahani naona upo Confused!! "Zilizouziwa" Je, zilizoTaifishwa zinaJUSTIFICATION ganiii? Yaonesha umeshika shoka bila mpini wake!! au ndiyo walewale ANTI-HAKI na anti-Maendeleo???!! FYI, hayo majengo unayo yaona leo ilikuwa ipambazuke na kunyanyuliwa miaka ya 1970~ yenye kufuatana na miundombinu ya kisasa...bila kubaki chuo kimoja for 40yrs!! Wewe bila hao wageni uliyowataja ndiyo MSONGO wa chuki zako tu!! Lakini wageni (wahindi/SA/nk) hao ndiyo waliyo prove kujenga nchi na kukuhakikishia wewe na waina yako kupata huduma zote stahiki na kwa wakati uutakao mwenyewe!!! Laa sivyo ungelikuwa bado unafuata maji ya kuchota na elimu ya unyanyasaji...
_72576905_87a42fb7-ffc1-4c3b-af27-e3f3952d21b9.jpg
_60765479_oxfordpumps1.jpg
Katuni(138).jpg
 
hoja yako n nzur lkn kwangu mm mtazamo wng n uu apa. kwa ss cimuamn kiongoz yyte kutoka ccm ata akiwa mama yng kwa 7bu zfuatavyo 1-viongoz wa ccm hawawajbshan kw maslai ya umma wapo kwa ku2ngua pexa za umma tu. 2-ccm hawana nia ya ku2ldtea maendeleo au kubolesha huduma za jamii. wapo kuendeleza ufxad, rushwa na wanaongoza nch bora liende (mf.wapgw2) 3,wapo kutetea chama zaid ya umma wakat majanga yalio pgwa vta apo awal kama umackn ujnga na maradhi. xaiv wameacc majanga mengne tena kama ugaid, ukanda ukabila, udn ufxad na ruswa. xx mm kama mzalendo lazma niungane na upnzn unaonyesha ukomboz cdm viva 4ever
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz
Baba yako amekata tamaa kugombea?
 
- - Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!

Le Mutuz
Ni kweli unacho Kinena!

 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

Umenena ukweli.
Tatizo wewe historia yako hapa inaonyesha huaminiki kwa unayoyasema. Labda unatafuta jamii inawaza nini.
Je na mzee wetu Malechela hajapewa? Je utapenda baba yako mzazi anyanganywe?
Kwenye red JK kabla ya uchaguzi kwenye mmoja ya hotuba zake alisema yeye hawezi kuzirudisha kwa sababu na yeye jk amepwa moja, kwa kiegezo hicho hawezi. Na ukweli ndio huo, kila jk alipo lambishwa ufisadi hukaa kimya na kuutetea.
Cha mwisho wewe ushawishi wako ni mdogo sana kuleta impact kwa mgobea yoyete, usijipe sifa kubwa kuwa utakayempigia kampeni jamii itakuelewa lakini kinyume chake ni kweli
 
Hili halitatekelezeka kwa urahisi kwa sababu katika mkataba wa kukopeshana/kuuza zile nyumba unasema kwamba hairuhusiwi kuuza nyumba hizi wala kufanya marekebisho makubwa lakini kinachoendelea ni nyumba kuuzwa, zenye viwanja vikubwa vimegawanywa, nyinmgine zimevunjwa na kujengwa upya na serikali inaangalia tu.

Huyo mgombea akitangaza kuzirudisha nyumba hizi karibu wote waliozinunua wataziuza hata kwa bei poa (mbona haitakuwa bei ya chini kuliko walizonunulia!). Kwa ujumla haitawezekana na itakuwa ahadi hewa na utapigia kura ahadi hewa.....
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

Kweli mwisho wa dunia umekaribia yaani hata hili gamba sugu limeanza kujivua,au uliahidiwa ukuu wa wilaya ukaonaa kimyaa sasa umeanza kuwatosa vyuma chakavu wenzako?
 
Le Mtuz big up kwa kuamka usingizini marekani inatakiwa uweunatoa mada kama hizi kila mara na hasa kwa blog yako.
Sio kuponda kazi nzuri inayofanywa na wapinzani wenu.
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz

...Mwaka jana ulipotembelea Mbeya, ulishangaa kwa nini Tanzania watu wafe njaa na ardhi yote hii nzuri tuliyonayo. Leo sijui kimekusibu nini umeona ufisadi wa uuzaji nyumba za serikali. Tunakuombea Mungu azidi kukufumbua macho zaidi.
 
- Mgombea wangu wa Urais ni yule atakayenihakikishia kurudisha nyumba zote za Serikali zilizouziwa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali kuanzia na Awamu ya Tatu. I don't care what haukuwa uamuzi fair kwa Wananchi wa Taifa hili na ninasema bila kuchanganya maneno ni moja ya pungufu kubwa sana la CCM chama changu. Nilimuunga sana mkono Rais wa sasa wakati wa mbio zake za kugombea Urais nikiamini kwamba ungekuwa ndio uamuzi wake wa kwanza kuufanya akiingia Ikulu, mpaka leo nashangaa kilichomtokea mpaka kutoligusa hili.

- I mean, nyumba karibu zote walizopewa hawa Viongozi na Wafanyakazi wa Serikali, wameishia kuuzia Wahindi na Wa-South Africa ambao sasa wanaporomosha magorofa, ikiwa na maana hawa wanapata Pesheni za walipa kodi wananchi na hela za nyumba za Serikali walizouza na wengine wameingia ubia na hawa wajengaji, kwa kitu gani cha ajabu walichokifanyia Taifa?

- Nasema tena mgombea Urais atakayenihakikishia kurudisha nyumba za Serikali kwa Umma kama zilizvyokuwa mwanzoni, NITAMPA KURA YANGU YA URAIS NA NITAMPIGIA KAMPENI HATA KUANZIA LEO IF I HAVE TOO!!


Le Mutuz[/QU

le mutuz
mzee wako hakufaidika nini? ule mjengo wa see view haukua wa serikali?
 
Hii ni thread yako ya tatu ambayo pia naiunga mkono 100%. Nimeamini unaujasiri na umejitoa kikweli katika kupigania hakim maendeleo nk za wananchi wa Tanzania. Natumaini haufanyi hivi kwa moyo wako wa dhati, na siyo kwaajili ya kuwashinikiza ili wakutafutie sukarigulu ya kukuziba mdomo. Keep it up!
 
Kijana wangu si kwa mapenzi yangu bali ni kwa maslahi mapana ya taifa hakika wanena vyema.

Hiyo ndiyo asili yetu wana idodomya hakuna woga,ni kusema ukweli tu!

Si unaona mzee wako,a.k.a "chief" japo alikuwa analazimishwa na mfumo uliokuwepo lakini hakuacha kusema ukweli ,na ndiyo maana walitofautiana na mkulu wa awamu ya kwanza.kisa kikuu ilikuwa "sagala ndewo" ya mtemi mazengo.


'hivyo kwa hili kidogo umefikirisha ubongo wako.

Japo kwa c.c.yem hilo ni ndoto za alinacha, kwani uozo ulioko ndani ya chama cha c.c.yem unatisha !

"ushauri"
achana na historia,jitafakari wewe na hatma yako ya baadae,hivyo karibu chadema kwenye ukombozi wa kweli ."
 
Hongera kaka Le mutuz,lakini kwa viongozi wetu hilo halitawezekana.Pili wapinzani kwa wakti huo haikuwa rahisi kulikataa kwani sidhani hata wabunge kumi wa upinzani walifika.Cha msingi pigania kinachowezekana kwa sasa,kama kulinda maslahi ya mali zetu,wanyama wetu,madini na kodi zetu.
 
Back
Top Bottom