Elections 2015 Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli

This is a figment of your own imagination; na hiyo source yako imekwambia njozi zake tu kulingana na vested interests zake kisiasa; CCM ni taasisi kubwa yenye factions nyingi zenye interests tofauti tofauti ambazo lazima zipitie mizengwe na minyukano mingi kabla ya kufikia uamuzi! kumbuka a week in politics is a very very long time! Ukianza kuamini sasa hivi kwamba John "Pombekali" Magufuli ndie atakuwa mgombea wa CCM come 2015; that is too far fetched!!!
Salama mkuu,watu waliona mbali sana
 
Hili la kuamua ni Magufuli, limenistua kidogo kwa sababu kwa sisi tuliomfuatilia Magufuli utendaji kazi wake kwa kauli na matendo, huyu mtu ameonyesha sio mzima sana kichwani!, anafanya baadhi ya maamuzi na jazba, papara na kukurupuka mtindo wa liwalo liwe, mwisho wa siku yanakuja kutu cost, hivyo akipita na kuwa rais wa nchi, you can just imagine, atafanya maamuzi mangapi ambayo yatatucost kama taifa, ila pia ana chance ya kuja kuwa the worst dictator this nation has ever had!.

Shikamoo Pasikali
 
Duh.. Huo ni unabii uliotimia. Mkuu Pascal uliona mbali

Aliona mbali kivipi tena? Mayala kasema kwamba kuna mtu kamwambia, na yeye kaja hapa JF kuleta hiyo habari. Wewe unasema "Mkuu paschal uliona mbali", mbali ipi? Jifunze ustaarabu wa kusoma bandiko kwa makini. Acha kukurukakara. Kumradhi kama nimekuudhi.
 
Wanabodi,

Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye Kipindi kirefu, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha, zimenisikitisha, kunihuzunisha, kuniogopesha, kunisononesha na kuninyongonyeza!, kuwa eti imeishaamuliwa (sitaji imeamuliwa na nani), kuwa mgombea wa urais wa mwaka 2015 kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi-CCM ni Mhe. John Pombe Magufuli!.

Kilichonistua, kunitisha, kunihuzunisha, kunisikitisha, kunisononesha, kunigopesha na kuninyongoneza ni the reasons behind alizonitajia za why ni Magufuli, ambazo ndizo zimepelekea the inner core ya CCM kuamua mgombea wake wa urais wa 2015 ni lazima awe John Pombe Magufuli tuu, and no one else!.

Kwa vile sababu hizo alizonitajia, baadhi kweli ni justifiable na nyingine sio tuu ni unjustifiable!, bali hazikubaliki kabisa katika Tanzania ya leo!. Naomba kwa sasa nisizitaje kwanza hizo sababu, kwa sababu habari zenyewe nimezisikia from a single source, nahitaji kwanza kufanya verification kwa ku double check, na ku cross check ikiwemo kupata a collaborative verification na attribution ya third parties ili nijiridhishe kuwa hii ni habari za kweli na kuthibitisha kuwa kumbe hivyo ndivyo the inner core ya CCM inavyoweza kufikia maamuzi ya mgombea wake based on sababu nilizo tajiwa!, then nitaziweka hadharani hizo sababu za kwa nini CCM imeamua mgombea wake wa 2015 lazima awe ni Magufuli tuu!, na kiukweli mkizisikia hata nyinyi mtashangaa!.

Kwa kawaida sisi waandishi, ukipata taarifa kama hii, huwa inaitwa "a news tip", haukimbilii kuiandika mbio mbio mpaka kwanza uifanyie verification kwa kui double check na kui cross check ili kujiridhisha kwa kuthibitisha ukweli wa taarifa yenyewe, baada ya kuthibitisha na kujiridhisha ndipo unaiandika.

Lakini kwa vile sasa tunaishi kwenye "the world of information age", nimeamua kuileta hii "news tip" humu jf, hivi hivi ikiwa kwenye hatua ya "tip" kabla hata ya verification, ili wewe kama mwana JF, uipate ile JF advantage ya "be the first to know!", hivyo nawaombeni tuu sasa wana jf mkae mkijua kuwa "Mgombea wa urais wa CCM kwa mwaka 2015 ni John Pombe Magufuli!".

Hili la kuamua ni Magufuli, limenistua kidogo kwa sababu kwa sisi tuliomfuatilia Magufuli utendaji kazi wake kwa kauli na matendo, huyu mtu ameonyesha sio mzima sana kichwani!, anafanya baadhi ya maamuzi na jazba, papara na kukurupuka mtindo wa liwalo liwe, mwisho wa siku yanakuja kutu cost, hivyo akipita na kuwa rais wa nchi, you can just imagine, atafanya maamuzi mangapi ambayo yatatucost kama taifa, ila pia ana chance ya kuja kuwa the worst dictator this nation has ever had!.

Nikiisha "confirm" neno "tetesi" litaondolewa na kuwa replaced na neno "confirmed!", na nitaziweka hizo sababu ili sasa ndio zijadiliwe!, na nawahakikishia wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili, mkizisikia hizo sababu za huyo kada wa CCM alizonipa kwa nini ni Magufuli!, na nyinyi pia zitawashitua, zitawatisha, zitawaogopesha, kuwahuzunisha, kuwasikitisha, kuwasononesha na kuwanyongonyeza!.

Naomba nisiwatajie jina la huyo source wangu chini ya kinga ya kihabari kwa ma source inayoitwa "The Confidentiality of the source", na hapa wakati naileta taarifa hii humu jf, kwa vile zoezi la kumteua mgombea wa CCM bado liko mbali hadi mwaka ujao, unaweza kukuta hata Magufuli mwenyewe bado hajui kuwa ni yeye ndie atakuwa mgombea wa CCM, kwa sababu walio amua kuwa ni Magufuli sio kikao chochote rasmi na halali ndani ya CCM bali ni "The Inner Circle" hivyo hii ni tip from the deep inside ya "the inner circle", na bahati mbaya sana, Magufuli mwenyewe hayuko kwenye hiyo "the inner circle!".

NB. Sio kila thread ni lazima ichangiwe, saa nyingine itoshe kujisomea tuu na kujipitia bila kuchangia chochote!. Hii ni just a news tip, kwa vile nimewaahidi naifanyia verification kuithibitisha, nawaombeni msiniulize swali lolote at this stage, kwa sababu sitajibu chochote!, and if possible nawashauri na nyingi msome FYE only na sio lazime mchangie kwa sasa na badala yake mvute subira kusubiria verification.

Sababu ya kuiwahisha humu JF kabla ya verification ni ili tuu wewe kama mwana JF to be the first to know!. Information is power!, if you are the first to know, then you'll have the powers to make good things happen or not to happen if they are bad things!.

Asante.
Paskali


Update: 12/07/2015

Leo hili limetimia ni kweli aliyepita ni Magufuli, nimezitafakari sababu nilizotajiwa ile siku napewa tetesi hii, na kuzipima na hiki kilichotokea, nimejikuta nimelazimika kutoziamini kuwa zile nilizosikia ndizo sababu zenyewe halisi.

Kwa sisi waandishi tuna kanuni, ukilisikia jambo, lipime uliamini ndipo uliandike, kama huliamini, then usiliseme wala kuliandika, hivyo hizo sababu nilizopewa siku hiyo, on why ni Magufuli, mimi siziamini, naomba nisiziseme kabisa, hivyo naomba tuchukulie bandiko hili nilijiandikia tuu kuwa atakuwa Magufuli, na kupitishwa kwa jina la John Pombe Magufuli, has nothing to do na sababu nilizotajiwa, bali kuhesabike kumetokea tuu naturally, by chance, bila any pre meditated moves, na hili bandiko lichukuliwe tuu kama just a coincidence, kuwa nilisema mgombea wa CCM atakuwa ni Magufuli na kweli ikatokea tuu coincidentally, mgombea wa CCM akawa kweli ni Magufuli.

Kwa mtakaonielewa asanteni kwa kunielewa, na kwa msio nielewa poleni na samahanini sana!.

Hongera sana John Pombe Joseph Magufuli kuteuliwa kuwa mgombea wa CCM.

Paskali

Paschal ulikuwa sahihi kumtilia shaka hasa utimamu wake , ni bahati mbaya kuwa walimuandaa lakini hawakumpika vya kutosha, kama nilivyosema awali JPM needed few fine tuning to become the best ..ambazo huwezi kumfanyia akiwa Rais , ni maandalizi ambayo angetakiwa afanye kabla ...
Lakini pia JPM binafsi amekuwa akijiandaa kimya kimya kwa kujiposition na kuwa mmoja wa wasifiaji wakubwa wa JK ....ni bahati mbaya au nzuri kuwa kambi ya Membe na Lowassa walim underestimate sana !!
 
Paschal ulikuwa sahihi kumtilia shaka hasa utimamu wake , ni bahati mbaya kuwa walimuandaa lakini hawakumpika vya kutosha, kama nilivyosema awali JPM needed few fine tuning to become the best ..ambazo huwezi kumfanyia akiwa Rais , ni maandalizi ambayo angetakiwa afanye kabla ...
Lakini pia JPM binafsi amekuwa akijiandaa kimya kimya kwa kujiposition na kuwa mmoja wa wasifiaji wakubwa wa JK ....ni bahati mbaya au nzuri kuwa kambi ya Membe na Lowassa walim underestimate sana !!
Mkuu Phile, he is changing for the better, anabadilika. Kwani umeushazisikia tena zile ziara za kushtukiza?, umaishasikia tena tumbua tumbua za papara?, hujanote hata kupayuka kumepungua?.
Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!.
Amini usiamini, yote anayoyafanya japo some are wrong na mengine ni udikiteta per se, lakini anayafanya kwa nia njema na dhamira safi.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Kwa vile Tanzania, tulifikishwa mahali nchi ikawa inamhitaji mtu wa aina hii, then akiendelea kubadilika, changing for the better, he has the chances kuja kuwa the best president this country has ever had since Mwalimu Nyerere!.

Ndio maana sisi wengine tunashauri
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?.

P.
 
Mkuu Phile, he is changing for the better, anabadilika. Kwani umeushazisikia tena zile ziara za kushtukiza?, umaishasikia tena tumbua tumbua za papara?, hujanote hata kupayuka kumepungua?.
Tusilalamike Tuu, Kulaumu na Kulaani Kila Kitu, Kwenye Mazuri Tupongeze, Rais Magufuli is Changing For The Better!.
Amini usiamini, yote anayoyafanya japo some are wrong na mengine ni udikiteta per se, lakini anayafanya kwa nia njema na dhamira safi.
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Kwa vile Tanzania, tulifikishwa mahali nchi ikawa inamhitaji mtu wa aina hii, then akiendelea kubadilika, changing for the better, he has the chances kuja kuwa the best president this country has ever had since Mwalimu Nyerere!.

Ndio maana sisi wengine tunashauri
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?.

P.
I agree with you , and having attended meetings anazokuwapo sometimes naona change of tone ...., ila ninachokiona ana washauri wazuri ila kuna wachache kwenye "kitchen cabinet " yake ndio wanaharibu haiba yake ..., nadhani unafahamu nguvu ya watu wa jikoni , mnaweza kwenda na ushauri mzuri tu , mkiondoka wao ndio they speak over it, watu aina ya Makonda wanamuharibia sana rais image yake , lakini pia wako wakuu wa mikoa kama Mnyeti ni tatizo kubwa ......angalau naona Gambo siku hizi anajaribu kukomaaa
Mtu kama PolePole kaishiwa kabisa mbinu za uenezi na kufanya uenezi wa ccm uwe kwenye mfumo la 'manunuzi" ,
Pia anatakiwa kupunguza kuongea hadharani mara kwa mara .....sio lazima kila event yake ifanywe live coverage ...watu wakimsikia mtu sana wanamzoea na kumuona wa Kawaida ........rais sio mtu wa kuongea kila siku ,mara nyingine atumie wasemaje ili siku akinyanyuka kuwe na uzito
 
This is a figment of your own imagination; na hiyo source yako imekwambia njozi zake tu kulingana na vested interests zake kisiasa; CCM ni taasisi kubwa yenye factions nyingi zenye interests tofauti tofauti ambazo lazima zipitie mizengwe na minyukano mingi kabla ya kufikia uamuzi! kumbuka a week in politics is a very very long time! Ukianza kuamini sasa hivi kwamba John "Pombekali" Magufuli ndie atakuwa mgombea wa CCM come 2015; that is too far fetched!!!
Sasa je
 
Mkuu Pasco, pole sana km hii kwako bado ni tip! Kumbe uko nyuma sn, hii ulikuwa confirmed tangu 2005 mara baada ya JK kuteuliwa kuwa mgombea, na yalikuwa ni mapendekezo ya che nkapa. Mi namuunga mkono, jamaa anafaa sn kwa hiyo nafasi.
Kumbe
 
Wanabodi,
kwa vile zoezi la kumteua mgombea wa CCM bado liko mbali hadi mwaka ujao, unaweza kukuta hata Magufuli mwenyewe bado hajui kuwa ni yeye ndie atakuwa mgombea wa CCM, kwa sababu walio amua kuwa ni Magufuli sio kikao chochote rasmi na halali ndani ya CCM bali ni "The Inner Circle" hivyo hii ni tip from the deep inside ya "the inner circle", na bahati mbaya sana, Magufuli mwenyewe hayuko kwenye hiyo "the inner circle!".
Paskali
 
Pascal Mayalla umepotea,wapi kaka
Mkuu Bato, mimi nipo sana tuu, ila pia its human nature, we human beings are not static, we are dynamic, and hence we change with time, tunaishi kwenye ulimwengu unaobadilika kwa kufuata the law of the jungle, "struggle for existence, survival is for the fittest", ili uweze ku survive ni lazima uwe fiti, na huwezi kuwa fiti kama huwezi kubadilika!. Saa hizi time zimebadilika, watu wamebadilika na Tanzania imebadilika, hivyo ili tuweze ku survive, na sisi lazima tubadilike, we have to change with time, hivyo nami nabadilika na nimebadilika.
P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom