JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Basi bwana,
Hili bandiko sikuliona mwaka 2014.
Ulimfahamu vizuri sana huyu Ndugu Mkulu wetu!
..fuatilia hotuba zake haswa wakati wa ufunguzi wa miradi ya ujenzi utasikia akitupa vijembe ambavyo tafsiri yake ni kuwa haamini ktk demokrasia yetu ya vyama vingi na uhuru wa kujieleza.
..lakini pia utaona kwamba ni mwanasiasa asiye mkweli anaye-take advantage ya uelewa mdogo wa wananchi.
..Vilevile ana tabia ya kuwazushia na kuwalisha maneno wale wote wasiokubaliana na hoja au maamuzi yake.