Mgombea wa Ubunge CCM ahusishwa na ngono na mwanafunzi

MAWANI

Member
May 12, 2009
71
1
Kumekuwa na mtizamo kuwa viongozi wengi ni waadilifu. Taarifa niliyopata muda huu ni kuwa anayegombea Ubunge jimbo la Ngara ni FATAKI. Je hii inakubalika? Soma kiambatanisho (attachment) na karibu kwa maoni na michango.
 

Attachments

  • FATAKI agombea Ubunge Ngara.doc
    200.5 KB · Views: 359
Nakumbuka kuna siku Obama alishawahi kuwaambia watoto wa sekondari kwamba wawe makini sana na vitu wanavyoandika kwenye facebook maana siku watakapokuwa wakubwa na wanatafuta uongozi, hivyo vyote vitaibuka. Sasa ndiyo haya ya huyo mgombea wa Ngara. Wakati huo hakujua kama kuna siku atakuja kutaka uongozi akajiachilia tu kwa raha zake.
But inawezekana pia kwamba hicho kimemo kimeandikwa ili kumchafua. Who knows? Watu hawashindwi kitu. Kuna haja ya kukifanyia uchunguzi wa kina kama kweli ni yeye aliyekiandika, na kama ni yeye, ni kweli alikiandika kwa mtoto wa form 1? Form one gani anaweza kusoma barua ya kiingereza hivyo?
Kuna haja ya kutafakari kabla ya kuamua kumzulia mtu jambo. Hata hivyo haina sahihi yake, wala jina lake, napata shaka kama kweli siyo mbinu za kumchafua.
 
Si ni mtizamo wa Chadema kuwa hayo ya ubinafsi yasiletwe ndani ya uchaguzi...tuzidi kuuza sera kwa wananchi, ama sivyo?
 
Hii kali! Wameipata wapi barua hii? Au aliyetumiwa aliihifadhi, leo akaona umuhimu wa kui-leak?
 
Nakumbuka kuna siku Obama alishawahi kuwaambia watoto wa sekondari kwamba wawe makini sana na vitu wanavyoandika kwenye facebook maana siku watakapokuwa wakubwa na wanatafuta uongozi, hivyo vyote vitaibuka. Sasa ndiyo haya ya huyo mgombea wa Ngara. Wakati huo hakujua kama kuna siku atakuja kutaka uongozi akajiachilia tu kwa raha zake.
But inawezekana pia kwamba hicho kimemo kimeandikwa ili kumchafua. Who knows? Watu hawashindwi kitu. Kuna haja ya kukifanyia uchunguzi wa kina kama kweli ni yeye aliyekiandika, na kama ni yeye, ni kweli alikiandika kwa mtoto wa form 1? Form one gani anaweza kusoma barua ya kiingereza hivyo?
Kuna haja ya kutafakari kabla ya kuamua kumzulia mtu jambo. Hata hivyo haina sahihi yake, wala jina lake, napata shaka kama kweli siyo mbinu za kumchafua.

Sidhani hii barua ina uhusiano na mgombea ubunge wa ngara hizi ni siasa chafu za kuchafuana majina tu
 
Sidhani hii barua ina uhusiano na mgombea ubunge wa ngara hizi ni siasa chafu za kuchafuana majina tu

Tuachane na hayo mambo ya ubinafsi kuelekea uchaguzi, watu watachafuana sana. Tumhukumu kwa uwezo wake wa kumudu kazi za kuwakilisha wananchi bungeni.

Ila watchdog wa jamii yetu ni nani? Maana hata ile Wizara ya Ustawi wa Jamii ( wanaikoroga na maswala ya jinsia, watoto nk, mtaniwia radhi ukichanganya mambo ya welfare ya jamii na kinachoelekea kuwa feminism, unapata mkorogo wa ajabu mno, maana wanaohusika mara sio wale wenye kujali maendeleo ya watoto na jamii kwa jinsi tulivyojizoesha - our african way of life- bali ni wa euro-centric perspectives) hawapo siku hizi. Hapa ingekuwa ni nafasi yao kuona kinachoendelea na kufuatilia....Maana hii ni taarifa ya kuwasaidia kufanya kazi yao.....
 
Huu ni ujinga mtupu,mtu yoyote anaweza kuandika hii barua na kumfanya mtu mwengine awe ameandika. Tunahitaji kufungua macho jamani kwanini hii barua isionekane tokea kipindi hicho ije itoke muda huu wa uchaguzi, Natumai haya ni magendo moja wapo ya kutaka wachafua watu majina yao.
 
HOJA NI KAMA ZIFUATAZO:-
1. Kila suala lina wakati wake, kama ilivyotokea kwa Slaa. maana mpaka mwanamke aliye kwenye ndoa afikie maamuzi ya kusema ndoa basi, naenda kutafuta anayenifaa ujue mambo haya yalianza siku nyingi.
2. Hiki ki-note na barua nimevipata Mwanza ambako binti huyo sasa anaishi.
3. Hii ilikuwa ni kuonesha kuwa wako watu wengi ambao siyo wasafi, wasafi ni wachache mno
4. Fundisho kuwa mambo binafsi siyo sera na wala haiwezi kusaidia kuleta maendeleo. Bata ukimchunguza sana, haumli!
5.
 
Kumekuwa na mtizamo kuwa viongozi wengi ni waadilifu. Taarifa niliyopata muda huu ni kuwa anayegombea Ubunge jimbo la Ngara ni FATAKI. Je hii inakubalika? Soma kiambatanisho (attachment) na karibu kwa maoni na michango.

Uchafuzi wa forgery za namna hii hauna tija kwa mtu unayemtaka awe kiongozi wako, badala yake unaweza ukamu-misscompaign vibaya sana. Naomba hapa tuwe waangalifu sana kwa sbabu hivi vitu latter or sooner, huwa vinakuja ku-firebback. Ndiyo maana Dr. Slaa hajawahi kufanya kitu kama hiki katika maisha yake, na hii ndiyo inamyofanya aendelee kuwa Dr. Sifa(a). Tuache ujinga wa namna hii, this is pure forgery!
 
huuu mwandiko ni wa ntukamazina kabisa, prooved kama anabisha aende mahakamani wachuke sampuli za alama za vidole aumbuke, duh mazee mengine nuksi kweli kweli
 
Kumekuwa na mtizamo kuwa viongozi wengi ni waadilifu. Taarifa niliyopata muda huu ni kuwa anayegombea Ubunge jimbo la Ngara ni FATAKI. Je hii inakubalika? Soma kiambatanisho (attachment) na karibu kwa maoni na michango.
tutajuaje umri wa huyo dada? tutajuaje uhakika wa hii barua?

Tanzania kweli ina mambo
 
huuu mwandiko ni wa ntukamazina kabisa, prooved kama anabisha aende mahakamani wachuke sampuli za alama za vidole aumbuke, duh mazee mengine nuksi kweli kweli

I believe this is a forged document meant to Scandalize the CCM candidate. Hapa Bongo siku hizi watu wanaweza kufanya forgery ya kila kitu; wanaweza kuforge signature yako na wewe mwenyewe ukakubali kuwa ni wewe umesign!! It is scary.
 
Hiyo wala haihusiani na uongozi bwana, kama ni hayo kuna watu ni wachafu chafu chafu hawafai hata kuwa wazazi tunawastahi, pigeni fair campaign discuss issues not people
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom