beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mwenyekiti wa Chama Cha Kijamii (CCK) David Mwaijojele amefika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma na kuchukua fomu za kuwania Urais wa Tanzania
Akiwa katika Ofisi za NEC, Mgombea huyo ameahidi watafanya Siasa za kistaarabu na kusema vipaumbele vya CCK ni kuihudumia jamii
Mwaijojele amekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage
Akiwa katika Ofisi za NEC, Mgombea huyo ameahidi watafanya Siasa za kistaarabu na kusema vipaumbele vya CCK ni kuihudumia jamii
Mwaijojele amekabidhiwa fomu hizo na Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage