Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Atafikishwa Mahakamani baada ya kuhakikisha mtendaji wa kata ya Keko anatenda kama sheria za uchaguzi zinavyotaka kwa kumpatia mgombea halali fomu zake , hii ilitokea baada ya Mtendaji huyo kuchelewa kujificha hadi kukutwa ofisini na Mgombea wa CHADEMA ambapo akataka kukataa kumhudumia mgombea huyo hali iliyosababisha mapambano , mgombea alifanikiwa kupata fomu zake , bali alikamatwa na polisi kwa kisingizio cha vurugu .