Tetesi: Mgombea wa CHADEMA Jimbo la Igunga apata ajali akiwa kalewa Chakaliii

Mpekuzi Tanzania

JF-Expert Member
Mar 11, 2018
585
906
Mpaka sasa Makada wetu Wanaendelea kufuatilia hali ya mgombea na wapambe waliopata ajali usiku wa kuamkia Leo wakitoka kupiga kilaji kwa katibu uenezi Ndugu Kamanga VICENT
IMG-20200927-WA0187.jpg
 
Yaani kwenye mikutano wanapiga michango usiku wanaenda kuzipigia sanitaiza.

Wameumbuka.
 
..isije kuwa ccm wamemtengenezea hiyo ajali.

..ajali wanapata cdm tu nyinyi hampati.
 
kwa namna hii taarifa ilivyoletwa kikuda, ma ccm LAZIMA kuna namna yatakuwa yanahusika!!!.
 
Back
Top Bottom