Mgombea wa CHADEMA Arusha,atishiwa bastola na kupokonywa fomu

Chadema kuweni macho.kuna taarifa Kuna wagombea wenu
wanachukua pesa kwa wagombea wa CCM halafu hawarudishi fomu halafu wanakuja na visingizio kuwa wameporwa fomu nk ili msije mkawashughulikia Kama wasaliti

Msiwaamni Sana hao watu wenu.
So what?
 
Back
Top Bottom