My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,283
So what?Chadema kuweni macho.kuna taarifa Kuna wagombea wenu
wanachukua pesa kwa wagombea wa CCM halafu hawarudishi fomu halafu wanakuja na visingizio kuwa wameporwa fomu nk ili msije mkawashughulikia Kama wasaliti
Msiwaamni Sana hao watu wenu.