Elections 2010 Mgombea uraisi UPDP yu hoi kitandani anaumwa

Ni kweli kuwa watu wanatakiwa kupiga kelele. Sheikh Yahya ni vyema akakamatwa kuanzia sasa.
 
Watu wanaona mbali sana ......ahsante mkuu kwa tahadhari ccm wanajulikana mpaka nguo zao za ndani tunazijua kwani wanatembea wakiwa uchi mambo yao yote yapo hadharani
 
Ndio Maana walimtuma yahaya akaseme uchaguzi mwaka huu utaahirishwa kwa kifo cha mmoja wa wagombea.

Alianza kwa kuumwa tumbo kama wiki 2 zilizopita na alikuwa akipata matibabu hospitali moja pale magomeni kabla ya kuzidiwa na kupelekwa Tumaini Hospital.

Probably they have given him a slow killing poison like Balali

Mkubwa kwani huyu jamaaa ni influencial kiasi gani hapa hao thithiem wamwogope? Nyau wa thithiem ni Chadema tu!! Hata CUF hawaiogopi kabisa.
 
Wana wa nchi.....Kuna kila dalili kuwa utabiri aliotoa sheikh yahya juzi ni mkakati wa TISS ..kuwaandaa watu kisaikologia ...iwapo itaonekana wazi kwa viashirio kuwa mgombea wa CCM Jakaya Kikwete atashindwa uchaguzi..........basi mgombea wa UPDP ambaye ni mgonjwa kwa sasa na amelazwa TUMAINI hospital ...watamalizana naye ....na kupelekea uchaguzi kusogezwa mbele kwa mwezi mmoja kama mwaka 2005..

Itakumbukwa kuwa mwaka 2005 kusogezwa mbele kwa uchaguzi kulisababisha kura za wapinzani kupungua na hata viti vya ubunge kwani wabunge wengi wa upinzani na wagombea urais hawakuwa na pesa ya kuendelea kufanya kampeni ...na CCM ..wakitumia PESA za EPA waliwahawia wagombea wao ubunge pesa ....na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kukata makali ya wagombea wa upinzani na hata kufaniikiwa kuupunguza idadi ya wabunge wapinzani...

Taahadhari hii nimeitoa ili kuwataka watu wapaaaze sauti kuhakikisha usalama wa mgombea wa UPDP Fahmi Devutwa na afya yake kwa ujumla inaangaliwa kwa makini ....na ikiwezekana apelekwa nje haraka kwa matibabu na uangalizi wake uwe chini ya chombo huru ........ili yale ya JUMBE yasije yakatokea.......

ccm wanajiandaa kuchinjia mtu baharini hali ikizidi kuwa mbaya ...na ikitokea hivyo uchaguzi ukasogezwa ...wapinzani watashindwa vibaya sana...na hata bungeni kutapwaya...FUNGUENI MACHO NA MASIKIO ...PAZENI SAUTI..THIS ISSUE IS SERIOUS!!


SAA YA UKOMBOZI NI SASA!

Mimi nitatumia silaha ya sala; nitamkumbuka kwenye sala zangu za jioni leo na J2 ili Mungu amjalie afya njema ya kimwili na roho!
 
Hawa jamaa wanafanya kila linalowezekana warudi Ikulu..
Hivi wamesahau nini mpaka kuhangaika kiasi hicho..!
Something must be wrong somewhere...
Kwa nguvu za Mungu 31-10-10 ndo siku yao ya kukaa kizimbani...
 
Wana wa nchi.....Kuna kila dalili kuwa utabiri aliotoa sheikh yahya juzi ni mkakati wa TISS ..kuwaandaa watu kisaikologia ...iwapo itaonekana wazi kwa viashirio kuwa mgombea wa CCM Jakaya Kikwete atashindwa uchaguzi..........basi mgombea wa UPDP ambaye ni mgonjwa kwa sasa na amelazwa TUMAINI hospital ...watamalizana naye ....na kupelekea uchaguzi kusogezwa mbele kwa mwezi mmoja kama mwaka 2005..

Itakumbukwa kuwa mwaka 2005 kusogezwa mbele kwa uchaguzi kulisababisha kura za wapinzani kupungua na hata viti vya ubunge kwani wabunge wengi wa upinzani na wagombea urais hawakuwa na pesa ya kuendelea kufanya kampeni ...na CCM ..wakitumia PESA za EPA waliwahawia wagombea wao ubunge pesa ....na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa kukata makali ya wagombea wa upinzani na hata kufaniikiwa kuupunguza idadi ya wabunge wapinzani...

Taahadhari hii nimeitoa ili kuwataka watu wapaaaze sauti kuhakikisha usalama wa mgombea wa UPDP Fahmi Devutwa na afya yake kwa ujumla inaangaliwa kwa makini ....na ikiwezekana apelekwa nje haraka kwa matibabu na uangalizi wake uwe chini ya chombo huru ........ili yale ya JUMBE yasije yakatokea.......

ccm wanajiandaa kuchinjia mtu baharini hali ikizidi kuwa mbaya ...na ikitokea hivyo uchaguzi ukasogezwa ...wapinzani watashindwa vibaya sana...na hata bungeni kutapwaya...FUNGUENI MACHO NA MASIKIO ...PAZENI SAUTI..THIS ISSUE IS SERIOUS!!


SAA YA UKOMBOZI NI SASA!
Yote hii kwa ajili ya madaraka tu!! Kama naota vile!!!
 
Sasa nimejua ni kwanini shehena kubwa ya vifaa vya uchaguzi kwa ajili ya CCM ndiyo kwanza vimeingia jana. Kumbe wanajua kwamba uchaguzi utasogezwa kwahiyo watahitaji zaidi hizo Tshirt, khanga na kofia?! Hii ndiyo Tanzania zaidi ya tuijuavyo.
 
Tungekuwa na jeshi lenye makamanda wenye maono na uchungu wa taifa letu na watu wake, dawa ni mapinduzi ya kijeshi, kuwauwa mafisadi wote, na kufuta vyama vyote vya siasa ili tuanze upya siasa kwenye level ground. EEH MWENYEZI MUNGU KWA NINI USIMTOE ROHO JK NCHI IKAPUMUA?
 
ahsante mkuu nilishaogopa kwa sababu hawa mafisadi wako tayari hata watz wote wafe ili mradi wao wabaki madarakani.sijui watamtawala nani?


Imedhihirisha ni namna gani wewe na wenzako msivyo makini na yale mnayoongea!! Mtu akijawa hofu hata uwezo wa kufikiri anapungukiwa na kubaki kulalamika hata pasipotakiwa kulalamika!!!!
 
Kwa jina la yesu hafi mtu na uchaguzi utafanyika.Mwaka 2005 tulianza uchaguzi bila kufanya maombi, mwaka huu uchaguzi umekabidhiwa kwa mwenyezi mungu wagombea na tutampata rais wetu kwa muda huo huo 31 oct. wala msiwe na wasiwasi, Nguvu ya pepo wabaya haipo.Kwa taarifa yako maombi na mapambio yanaendelezwa kwa jina la yesu.
 
Nadhani wajumbe wake waende kwa mtabali wa CCM kupata kinga isiyoonekana ili aendelee na kampeni au awambie wale wote ambo wangempa kura wazielekeze kwa Dr. Slaa. Atakuwa hakupoteza chochote
 
Na kwa JK, ana ulinzi aina mbili; Unaoonekana (jeshi, Usalama wa Taifa na Green Gad) na usioonekana (majini). Ni afadhali hawa wengine wapewe wa polisi na JWTZ. :hand:
 
tungekuwa na jeshi lenye makamanda wenye maono na uchungu wa taifa letu na watu wake, dawa ni mapinduzi ya kijeshi, kuwauwa mafisadi wote, na kufuta vyama vyote vya siasa ili tuanze upya siasa kwenye level ground. Eeh mwenyezi mungu kwa nini usimtoe roho jk nchi ikapumua?

jeshi gani ..si umesikia jeshi kupitia mnadhimu mkuu lt.gen shimbo amesema jeshi liko kwenye hali ya tahadhari ..eti kuna watu wanaleta siasa za fujo........yaani mwaka 1995 na joto llilokuwapo hatukusikia jwtz wakitoa statement live juu ya mwenendo wa uchaguzi...na mnakumbuka vuguvugu lilikuwa kali...itakuwa mwaka huu ambako hata znz kuna amani.....lazima theres something fishy.......kwenye kutishia watu....!!.....hata mwaka 2005 ...sana sana aliishia tu mahita kutoa statement ya ngunguri....imekuwaje leo hii jwtz waamke...wakati wana bahari na mipaka ya kulinda...au kura za synovete zinawachanganya??....kwa maana nyingine ni as if statement ya leo ilimaanisha kuwa hata wakishinda upinzani jeshi wanaweza kuchukua nchi kwa kigezo cha kutuliza vurugu.......mbona hakuna fujo??????
 
sasa nimejua ni kwanini shehena kubwa ya vifaa vya uchaguzi kwa ajili ya ccm ndiyo kwanza vimeingia jana. Kumbe wanajua kwamba uchaguzi utasogezwa kwahiyo watahitaji zaidi hizo tshirt, khanga na kofia?! Hii ndiyo tanzania zaidi ya tuijuavyo.

sasa kama vifaavya kampeni ndio vimeingia na uchaguzi umebaki siku 30 ...inamaanisha nini?????.....just angalieni umafia..

1] uchaguzi wa marudio dar ulivyowanyima nccr mageuzi kushinda mwaka 1995...
2]uchaguzi ulivyosogezwa mbele kwa kifo cha jumbe mwaka 2005 ulivyowapa wapinzani kura za aibu mwaka 2005 na kuwakosesha wabunge...
3]uchaguzi utakaosogezwa mbele mwaka huu...kutokana na kifo cha ..........utawapa wapinzani kura za aibu na kuwakosesha wabunge

that my insight!!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom