beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mgombea Urais wa Chama cha Sauti ya Umma (SAU) Muttamwega Mgaywa amesema kila Mtanzania atapewa kipande cha heka moja ya ardhi pamoja na kiwanja kimoja cha kuishi bure na hawatolipia kodi.
Ameeleza "Hakuna tena kodi ya kiwanja kuanzia tarehe 28 nitakapokuwa Rais, ardhi ni mali ya Wananchi isipokuwa iko chini ya udhamini wa Rais. Hata madini kama yapo kwenye ardhi yako, Muwekezaji akija anakaa na Serikali na anakaa na wewe mnajadili"
Angalia mahojiano kamili ya Mgombea huyo katika Kipindi cha Dakika 45
Ameeleza "Hakuna tena kodi ya kiwanja kuanzia tarehe 28 nitakapokuwa Rais, ardhi ni mali ya Wananchi isipokuwa iko chini ya udhamini wa Rais. Hata madini kama yapo kwenye ardhi yako, Muwekezaji akija anakaa na Serikali na anakaa na wewe mnajadili"
Angalia mahojiano kamili ya Mgombea huyo katika Kipindi cha Dakika 45