JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Kutokana na mwitikio mkubwa wa wananchi kumuuliza maswali Mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Ndg. Tundu Lissu; imebidi apate muda kuyapitia maswali yote (takriban 200) ili kila mmoja ajibiwe. Maswali hapa JF yaliulizwa kupitia > Uchaguzi 2020 - EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii
Aidha, takribani maoni 600 yamekusanywa toka Facebook na mengine takribani 165 toka Instagram; mengine 66 ya Twitter pamoja na wale waliotuma SMS, DM na barua pepe(Email).
Tunatarajia kufikia kesho atakuwa ameyapitia maswali hayo na yote yatajibiwa.
Shukran kwa wote walioshiriki; tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza
Aidha, takribani maoni 600 yamekusanywa toka Facebook na mengine takribani 165 toka Instagram; mengine 66 ya Twitter pamoja na wale waliotuma SMS, DM na barua pepe(Email).
Tunatarajia kufikia kesho atakuwa ameyapitia maswali hayo na yote yatajibiwa.
Shukran kwa wote walioshiriki; tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza