Elections 2015 Mgombea urais wa CCM, John Magufuli ni batili

CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.

Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.

Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.

Hivi siasa zikiisha utafanya kazi gani?, mfuate Gwajima mshauri wa rais na wamiliki wa benki Tanzania. Mkiitwa lofa mkubali.
 
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,
Wewe humjui Andrew Nyerere kaa kimya, akili za ukoo wako wote unganisheni hamfikii kichwa kimoja cha Andrew.
Kwanza Andrew ni mwanajeshi na si mwanasiasa na ana haki ya kuchambuwa siasa.

Hivi mnavyomtumia mdogo wake yule Makongoro Nyerere awe kama Joti na comedy zake kule ndio kumuenzi jina la Nyerere?


we ropoka tu unazani sheria haijapitishwa watakapokuta ushaidi utalialia kama kibogoyo tu,
Coward.
Nyerere hayo unayozungumza hayana mashiko.

Lowassa aliahidi kuhamia CHADEMA na wenyeviti wote waliomuunga mkono ndani ya CCM na wabunge 150.

Leo wako wapi zaidi ya Mgeja na Msindai?. ambao nao hawajafuatwa hata na mwenezi wa tawi?.

Eti Lowassa ana nguvu ziko wapi hizo zaidi ya kufanya siasa za maji taka?.

Gia imrbadilishiwa angani, hao waliobaki huko ndio wanawauwa, wamebakizwa ccm kwa kazi maalum mwaka huu hamna pa kutokea.
 
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.

Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.

Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.

Mkuu, hii kitu sisiemu kamwe hawata taka kuisikia
 
Ni kweli makufuri hakupata baraka kutoka ccm alichaguliwa kwa bahati mbaya tu
 
Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,


Umeambiwa mgombea wa CCM halafu unajadili jina la mleta maada na mgombea wa UKAWA,Hivi shule huwa mnaenda kusomea ujinga? cc.Faizafoxy
 
CCM ina matatizo zaidi ya mawili.

Mosi tatizo la ajira hasa vijana wengi wamekata tamaa wanajua pasipo shaka yoyote aliyesababisha tatizo lao ni CCM.

Pili huduma mbovu za afya hasa wazee,mama na mtoto hawana uhakika wa huduma bora,madawa na vifaa tiba.Tumeshuhudia kina mama watatu hadi wanne wakilala kitanda kimoja kabla ya kujifungua na baada ya kujifungua.

Tatu ahadi za uongo zimekuwa nyingi sana kiasi wananchi wemechoka kudanganywa.

Nne CCM imejaa kibri,imekuwa ikitumia majory mjengoni kupitisha mambo ya hovyo bahati mbaya luninga zinaonyesha madudu yote.

Tano Watanzania walitoa maoni kuhusu katiba ya nchi mambo yote ya msingi yameondolewa na wabunge/wajumbe wa CCM.

Sita CCM imeharibu uchumi wa nchi,deni la taifa limekuwa kubwa mno,mfumuko wa bei umekuwa wa kutisha,thamani ya fedha yetu imeshuka kupita kiasi.

Saba viwanda vingi vilivyojengwa enzi za utawala wa Mwl Nyerere vimekufa au vimeuliwa maksudi na serekali ya CCM matokeo yake ni kusababisha ukosefu mkubwa wa ajira.
Leo nimemuuliza mwabaCCM mmoja hayo mabadiliko mnayotaka ni yapi? ameshindwa kunijibu, kumbe CCM ni copy and paste sera za UKAWA bila hata kuelewa maana yake.
 
Wamajungu mmejaa kweli, Arusha ipi hiyo, huku chadema hapigi kampeni wanapita kujitambulisha, hiyo minong'ono yako ni uzushi
 
Mbona ikulu wamekaa walanguzi wengi tuu huyu atashindwa nn?
 
Hahaha orodha ya maovu ya ccm;
Epa
Kiwira
Tokomeza...wananchi
Nyamongo
Deci...wamekula
Endelea...
 
Humjui unayemkejeli kima wewe kaa kimya.
Unadhani huyo ni Yericko?

Ungekuwa na "busara, usingetumia neno hilo "kima" kwa binadamu aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Leo hii unamwambia mwenzako "kima" ukifika nyumbani kwako mtu wa kwanza kukupokea mwambie "kima",ukikataa kumwambia itakurudia wewe mwenyewe ndani ya nafsi yako. Wazee wa Gwajima bwana kazi kweli.
 
Humjui unayemkejeli kima wewe kaa kimya.
Unadhani huyo ni Yericko?

Dikteta wa Uganda ndio alikuwa anatukana binadamu "kima",leo hii "mitanzania"yenye uchu inatukana mwananchi mwenzao. Hilo tusi "ni laana kwako na washabiki unao washabikia", Kuwa mpole kama njiwa na mwenye akili kama nyoka. Usikubali "uovu" ukutawale. Kama umehongwa na Gwajima mshauri kapotea. Tanzania sio ya kushauriwa na Gwajima.
 
Siasa zitakwisha sasa hivi. Tazama hao watu wanavyolipana mishahara like there is no tomorrow.
 
Nilivyosema ni kwamba hizi habari zimenifikia four days ago. Kwamba kule Dodoma Kamati ya Usalama iliwachagua Augustine Mahiga,Augustine Ramadhani,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu. Halafu Mwenyekiti wa CCM,akayapuuzia yale majina. Akabakiza jina moja tu la Asha Rose,labda kwa vile huyu ni Waziri wa Sheria,kumuondoa ingekuwa very tricky. Jakaya Kikwete akaja na listi mpya. Kama hivi ndivyo ilivyotokea Dodoma,kwa nini hizi habari tunazipata barabarani,kwa nini haziandikwi katika gazeti? Kwa hiyo Mwenyekiti amefanya udikteta ambao ni fantastic,kuwapuuzia washauri ambao amewachagua mwenyewe,handpicked by him,Katiba ya aina gani,mahali popote duniani inaweza kuruhusu jambo kama hili,kwamba kiongozi afanye kazi bila ushauri?
 
Nilivyosema ni kwamba hizi habari zimenifikia four days ago. Kwamba kule Dodoma Kamati ya Usalama iliwachagua Augustine Mahiga,Augustine Ramadhani,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu. Halafu Mwenyekiti wa CCM,akayapuuzia yale majina. Akabakiza jina moja tu la Asha Rose,labda kwa vile huyu ni Waziri wa Sheria,kumuondoa ingekuwa very tricky. Jakaya Kikwete akaja na listi mpya. Kama hivi ndivyo ilivyotokea Dodoma,kwa nini hizi habari tunazipata barabarani,kwa nini haziandikwi katika gazeti? Kwa hiyo Mwenyekiti amefanya udikteta ambao ni fantastic,kuwapuuzia washauri ambao amewachagua mwenyewe,handpicked by him,Katiba ya aina gani,mahali popote duniani inaweza kuruhusu jambo kama hili,kwamba kiongozi afanye kazi bila ushauri?

Interesting
Cc The Boss
 
Last edited by a moderator:
Nilivyosema ni kwamba hizi habari zimenifikia four days ago. Kwamba kule Dodoma Kamati ya Usalama iliwachagua Augustine Mahiga,Augustine Ramadhani,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu. Halafu Mwenyekiti wa CCM,akayapuuzia yale majina. Akabakiza jina moja tu la Asha Rose,labda kwa vile huyu ni Waziri wa Sheria,kumuondoa ingekuwa very tricky. Jakaya Kikwete akaja na listi mpya. Kama hivi ndivyo ilivyotokea Dodoma,kwa nini hizi habari tunazipata barabarani,kwa nini haziandikwi katika gazeti? Kwa hiyo Mwenyekiti amefanya udikteta ambao ni fantastic,kuwapuuzia washauri ambao amewachagua mwenyewe,handpicked by him,Katiba ya aina gani,mahali popote duniani inaweza kuruhusu jambo kama hili,kwamba kiongozi afanye kazi bila ushauri?

CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.

Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.

Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.

hilo tunalitambua ndio maana tunamuunga mkono lowassa

Interesting....

Haya sasa, tambo za 'kofia oyeeeeee' Vs Andrew Nyerere ambaye wengi tunaojua mabandiko yake huwa yanatoka moyoni!

Uko sahihi mleta mada tushashituka mbona kitambo tu

Nyerere unazalilisha jina nyerere ,maana unapotunia jina hili na kufanya siasa za maji taka basi wewe ni wale wa kununuliwa tu,nakukumbusha ebu twmbie mgombea wa ukawa alipatikana kwa utaratibu upi?
ukijibu hilo b=ndo uje kulema kelele za sijui usalama kumpendeleza rais wa ccm,


Hivi hizo kura za kumpa ushindi lowasa zinatoka wapi? Arusha kuna minong'ono kuwa alikuwa ana mpango wa kuwafukuza wachaga ARUSHA mjini. Msiione wanamchekea wanamtumia kuongeza ruzuku na wabunge, kwenye urais asahau.



ACHA UBAGUZI.
MSG ZA UCHOCHEZI HAZITAKIWI.

CCM NI LINI MTAACHA SIASA ZA CHUKI.
HATA VIONGOZI WENU WAWAPO MAJUKWAANI WANAONGEA KWA CHUKI ZA WA WAZI NA UCHONGANISHI KWA WATANZANIA WENZAO AS IF UKIVAA TU KIJANI UNAHAKI YA HATA KUUA ASIYE CCM BILA KUULIZWA.

Mbona kundi kubwa liko nje ya CCM na limetii miaka 50 bila vurugu?
Nyie ccm mnaona dalili tu ya ya kushindwa kwa miaka kumi au mitano na watanzania wenzenu mnapaniki na kuona bora tukose wote?

Kama mngewathamini watanzania mngeshukuru kwa kupewa ridha hiyo kwa miaka 50 na sio kulipasua taifa kwa kutajana wagombea kimakabila na kuwakataa watanzania kwa makabila yao.

CCM hamna shukurani hivi kweli Nape na Ridhiwani na Mwigulu mnataka muiache Tanzania ikiwa na vurugu kwa sababu ya kutaka mgombea wenu ashinde au ndio mmesahau kuwa nafasi mlizo nazo sio haki ya urithi bali ni dhamana tu na waliowapa nyie dhamana wanataka kuwapa na watanzania wengine kama ni kufaidi nao wafaidi.
 
CCM ina matatizo mawili ambayo yanaondoa umoja. La kwanza ni defection ya Lowassa.

Tatizo la pili ni pale Kamati ya Usalama ilipowachagua watu watano wakapigiwe kura na Mkutano Mkuu,na Rais Kikwete akayapokea yale majina na kuyaweka kapuni na kutoa listi yake mpya mfukoni.

Na labda wapo wengine CCM ambao hawakubaliani na vyote,uteuzi wa Kamati ya Usalama na uteuzi wa Kikwete.

Tupe majina aliyopelekewa na "kamati ya usalama".
Andrew Nyerere ungegombea wewe kura yangu ungekuwa nayo.
 
Last edited by a moderator:
Majina nimeyaandika,Jaji Ramadhani,Mahiga,Asha Rose,Mizengo Pinda na Makongoro. Hao ndio waliochaguliwa katika mchakato,lakini Kikwete akabadilisha mambo ili ,inasemekana amweke Membe,na ndiyo ikaleta kura za hasira.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom