GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,567
" Kinachoendelea Yanga SC na huu mkanganyiko kuhusu wao kucheza au kutocheza Mechi yao na Simba SC tarehe 3 July, 2021 ni Uthibitisho rasmi kuwa Yanga SC sasa imejaa Wahuni na inaongozwa Kihuni. Na katika hili Yanga SC wasitake Kuwaficha Mashabiki wao bali waseme tu kuwa wanaiogopa hii Mechi kwakuwa wanajua kwa Kikosi chao dhaifu huenda wakapigwa nyingi kwa Mkapa ".
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.
Alipochukua Fomu yake Kugombea Urais wa TFF wana Yanga SC wengi ambao ' mnamchukia ' Rais wa TFF sasa Wallace Karia mlimpenda na Kumfurahia Mchambuzi huyu wa EFM Oscar Oscar hivyo ni Matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa hata hii ' Sindano Chungu ' aliyowachomeni Studioni leo mtaendelea Kumpenda na Kumuunga mkono mara kwa mara.
Chanzo: EFM Sports Headquarters leo.
Alipochukua Fomu yake Kugombea Urais wa TFF wana Yanga SC wengi ambao ' mnamchukia ' Rais wa TFF sasa Wallace Karia mlimpenda na Kumfurahia Mchambuzi huyu wa EFM Oscar Oscar hivyo ni Matumaini yangu makubwa GENTAMYCINE kuwa hata hii ' Sindano Chungu ' aliyowachomeni Studioni leo mtaendelea Kumpenda na Kumuunga mkono mara kwa mara.