Endeleeni kuweka pamba masikioni tu, mtavuna mnachopanda wakati Simba inazidi kutambulika kimataifa.Simba anahitaji kumfunga Yanga zaidi ya mechi kumi ndio alingane na idadi ya mechi Yanga alizomkalisha. Hata mechi mbili za mwisho bado Simba kwa Yanga anapumulia mashine. Hata Yanga queens inatosha kuwanyamazisha.
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Swine.tatizo lako ni mwezi mchanga, hujielewi.
Timu ambayo imemfunga mwenzake mara nyingi ( head to head)Yanga ni kikundi fulani ambacho kiko disorganised kuanzia kwenye management uongozini mpaka timu uwanjani, kuwaita watani ni sawa kabisa, ila Yanga hawajawa na uwezo wakuitwa washindani wa Simba SC.
Wazee wa historia!! Wamebakiza kumbukumbu: Nilikuwa natembelea V8 na kuvaa suti Kali! Ila kwa sasa hata baiskeli ya mbao hana, anatembelea msuli na kandambili miguuni!! Ndio yanga mabingwa wa kihistoria! Ukitaka kuwaona tembelea jumba la makumbusho!!!Timu ambayo imemfunga mwenzake mara nyingi ( head to head)
Timu yenye vikombe vingi (all time champions of Tz)
Timu inayongoza kukufunga magoli mengi (goals differences)
Nawewe si utengeneze yako?Wazee wa historia!! Wamebakiza kumbukumbu: Nilikuwa natembelea V8 na kuvaa suti Kali! Ila kwa sasa hata baiskeli ya mbao hana, anatembelea msuli na kandambili miguuni!! Ndio yanga mabingwa wa kihistoria! Ukitaka kuwaona tembelea jumba la makumbusho!!!