hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Safi sana Mr President
Piga kazi kwa vitendo
Acha wanaopiga kazi majukwaani na matusi
Piga kazi kwa vitendo
Acha wanaopiga kazi majukwaani na matusi
unaaambiwa hili linaitwa pigo takatifu surprise attack hawajaamini kama Rais wetu atakuja na kampeni za kiulaya-ulaya just keep close to your voterssssssssssssssssssssssss tisha sana raisssssssssssssssssss
Photoshop at work!
unaaambiwa hili linaitwa pigo takatifu surprise attack hawajaamini kama Rais wetu atakuja na kampeni za kiulaya-ulaya just keep close to your voterssssssssssssssssssssssss tisha sana raisssssssssssssssssss
Huyo kwenye daladala ni Lowassa original au fake! Mbona aliokaa nao karibu wanaelekea kutomjali au kumuangalia!
Yaani Lowassa hata akipenga kamasi ni habari aisee. Huyu jamaa ana mvuto wa ajabu balaaaaaa
Mpuzi kweli huyu jamaa
''jela ya mafisadi na wezi '' by magufuri
mazoezi ya kutoroka kupitia public transport; kama mtoto wa gadafi
Mh Lowasa leo Asubuhi ameanza safari ya maigizo kwa kuibuka kwenye daladala kwa madai kuwa ana kwenda kuangalia kero za wananchi....! Kitendo chake kimesababisha usumbufu mkubwa kwa abiria..
Baadhi ya wakazi wa gongo la mboto walisikika wakisema watachelewa makazini kwa sababu ya watu na uchu wa ikulu.
Wengine walikwenda mbali zaidi kutaka serikali kuzuia wana siasa kuzunguka na kumtaka kamanda wa polisi kutoa tamko ili wananchi wasiendelee kupata usumbufu usio wa lazima tena asubuhi.
[ATT ACH]279761[/ATTACH]View attachment 279762View attachment 279763
Leo nimemshuhudia Lowasa mbagala ni kweli huyu atakuwa na matatizo ya kiafya. Sitaki kuamini kama huyu ndie mgombea urais kwa taifa letu.
Mh Lowasa leo Asubuhi ameanza safari ya maigizo kwa kuibuka kwenye daladala kwa madai kuwa ana kwenda kuangalia kero za wananchi....! Kitendo chake kimesababisha usumbufu mkubwa kwa abiria..
Baadhi ya wakazi wa gongo la mboto walisikika wakisema watachelewa makazini kwa sababu ya watu na uchu wa ikulu.
Wengine walikwenda mbali zaidi kutaka serikali kuzuia wana siasa kuzunguka na kumtaka kamanda wa polisi kutoa tamko ili wananchi wasiendelee kupata usumbufu usio wa lazima tena asubuhi.
[ATT ACH]279761[/ATTACH]View attachment 279762View attachment 279763
Safi sana Mr President
Piga kazi kwa vitendo
Acha wanaopiga kazi majukwaani na matusi
Anatafuta kiki