Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
wewe ni mmoja wa waathirika wa uliyoyasema.Sababu ya kisayansi iliyogundulika kwa baadhi ya akina mama ambao wamekaa kwenye ndoa zao kwa miaka kadhaa bila kupata ujauzito ni kukutana kimwili na waume zao huku mawazo yao yote yako kwa mwanaume mwingine.
Ukiangalia muda ulio anzisha thread hii na zingine nyingi kuhusu Chadema ni mapema asubuhi kwa hiyo fikra za hayo unayoandika unazifanya usiku kucha ukiwawaza hao unaotaka kuwaandika. Ziko taarifa kuwa wewe ni wa viti maalum na unajulikana kuwa ulipata mwenza miaka kama mitatu iliyopita lakini mpaka leo NDOA HAIJAJIBU. Sasa mheshimiwa sana unadhani kweli ndoa itajibu kama kweli jamaa aki pampu wewe mawazo yako yako kwa Edo au Freeman? Mbona utamchosha mtoto wa watu na kisha uje uupate muziki wa mawifi?
Hebu acha kuwaza nini cha kuwaandika wanaume wa wenzio usiku, jikite kwenye game na mumeo ili uje uitwe mama nawe hayo mambo ya kiuvccm waachie wenzako hasa baada ya kupewa kacheo kakwenda "kukaa tu bungeni". Huoni mwenzako Mtela katulia?