Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,225
- 17,924
Ni wakati sasa wa kumfukuza kinguvu pengine yeye ndio sababu ya msongamano!
Hahahahaha nimecheka kwa nguvu
Ni wakati sasa wa kumfukuza kinguvu pengine yeye ndio sababu ya msongamano!
Hahahahahaaa ni bora unyimwe sura kama kaka yangu popoma GENTAMYCINE kuliko wewe handsome halafu kichwani patupu.Nawewe pia ni fisi...ila we una afadhali kidogo sababu we ni fisi-maji...
Hahahahaaaa jamani mbavu zangu mie!hata kiswahili hujui mkimbizi we, wadhururaji ndio lugha gani?
Watu wengine maboya kweli,siasa ni kama pool table haina sare kila game lzm mtu afungwe na hakuna asiekuwa na washabiki kiufupi ni hivii,mshindi kashapatikana wote tunatakiwa kumuunga mkono kulijenga taifa,lkn humu mijitu mingine inadharau watu wala haifikirii,hebu mjiulize pombe asingepata upinzani kwa edo angetuahidi nini?kuna mtu aliwahi kusema ivii usimsifie Baba yako kuwa ana mbio msifie na yule anaemkimbiza.
Hahahahaaaa jamani mbavu zangu mie!
Lowassa ng'ombe wanakuhitaji Monduli. Zizini ndio Ikulu yako....hatupeleki vilaza Ikulu ya magogoni sisi. Yani mimi na shahada yangu ya uhandisi nimchague mtu aliyesomea usanii!? Si nitakuwa kichaa wa karne! Tena jitu hata kuongea haliwezi....likipewa jukwaa linaongea kwa dakika 3 tu...sasa huo si uboya....liende Monduli huko.
Weka CV ya Lowassa hapa tuone aliposomea huo usanii unaousema wewe
Si tayari ameshaanza kuchunga kwani wewe hujui, alikuwa anamaanisha Mbowe, mbatia, na wafuasi wake. Slaa aligoma kuwa ng'ombemh lowasa aliambia bbcswahili baada ya kuulizwa swali kama akishindwa urais atafanya kazi gani alisema ataenda monduli kuchunga ng'ombe sasa ameenda au ni zile ahadi hewa.
inamaana angeupata urais ahadi za mwenye pkpk moja atakuwanazo mbili ingekuwa hewa.haya wale nyumbu zindukeni
mh lowasa aliambia bbcswahili baada ya kuulizwa swali kama akishindwa urais atafanya kazi gani alisema ataenda monduli kuchunga ng'ombe sasa ameenda au ni zile ahadi hewa.
inamaana angeupata urais ahadi za mwenye pkpk moja atakuwanazo mbili ingekuwa hewa.haya wale nyumbu zindukeni
Hii thread ni kipimo sahihi cha uelewa wa mambo hapa JF....
Hata pushups ilikuwa ni maigizo...Tatizo la maigizo haya hayataisha mpaka 2020 watu watakapoona umuhimu wa maigizo!!
HATUNYWI SUMU HATUJINYONGI!!
Acha kupima UPEPO wewe Kia zama na Kitabu chake . Ulitaka amsemeje bosi wake? endeleza kampeni zako. hku sisi tunamuombea na kumtia nguvu Rais wetu wa awam ya tano
40% sema 68% kawaulize LHRC wanajua ukweli wote na wana nakara original za matokeo yote