duh a right answer to the right animal at the right time.Falla wewe
Falla wewe
Hivi wewe nawe ujiite GT?
Duuuuuu...naona mletamada ameamsha popo! 4 U Movement mlijinadi kwa kusema "Ulipo Tupo"....haya sasa mzee yuko huko Longido anachunga ng'ombe ya boma na mama yohyooo...mfuateni sasaUmevurundwa na kuvurugwa kila pahala
Umevurundwa na kuvurugwa kila pahala
Hahahahaaa hivi wewe na DuppyConqueror mna ugomvi gani?Hivi wewe nawe ujiite GT?
Huyo fisi Mmawia amerogwa, hana uwezo wa kujua mema au mabaya...yeye anaenda kila anapoelekezwa kwenda, without questioning or reasoningHahahahaaa hivi wewe na DuppyConqueror mna ugomvi gani?
Maana katika vita ya members yenu pia imo.
maigizo yakiisha tutaona mengi
mh lowasa aliambia bbcswahili baada ya kuulizwa swali kama akishindwa urais atafanya kazi gani alisema ataenda monduli kuchunga ng'ombe sasa ameenda au ni zile ahadi hewa.
inamaana angeupata urais ahadi za mwenye pkpk moja atakuwanazo mbili ingekuwa hewa.hayam w
ale nyumbu zindukeni[/QUOTE
pombe ameshajenga mahakama ya mafisadi?
itabidi tumtafutie farasi wa kwenda kuchungia
Nawewe pia ni fisi...ila we una afadhali kidogo sababu we ni fisi-maji...Tena ukome kumuita ndugu yangu Mmawia fisi...
Nyumbu wa Lumumba wewe.
watu waliokaa darasani miaka michache wanaipenda sana ccm-twaweza
hata kiswahili hujui mkimbizi we, wadhururaji ndio lugha gani?Yupo tu hapo mjini anadhurura kwenye vijiwe vya kahawa kupiga umbea..hvi karibuni tutamwambia kova akamate wadhururaji wote hapo mjini warudishwe makwao kulima.