binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 8,897
- 22,266
Weka akiba ya maneno
Ndio maana wenye busara huwa wanaweka akiba ya maneno, hii ya kujifanya foresee inatia aibu sana.
Weka akiba ya maneno
ACT wanavizia mkono uliooza udondoshwe ili wa uokote,kama fisi mwenye uchu wa kuvizia mizoga iliotelekezwa na wenzao,na kama Bwana zao CCM watakomaa na mkono wao bila kujali funza waliopamba kwenye mkono mpaka mwisho wa safari,ACT itakuwa imekula kwao.