Mgombea urais ACT-Wazalendo kujulikana Agosti 10

ACT wanavizia mkono uliooza udondoshwe ili wa uokote,kama fisi mwenye uchu wa kuvizia mizoga iliotelekezwa na wenzao,na kama Bwana zao CCM watakomaa na mkono wao bila kujali funza waliopamba kwenye mkono mpaka mwisho wa safari,ACT itakuwa imekula kwao.

Asante kwa kunifraisha mkuuu
 
Back
Top Bottom