jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nimeisikia kwenye vyombo vya habari ikielezwa kuwa mgombea urais kupitia ACT Wazalendo ndugu Benard Membe amekosa wakala wa kusimamia kura zake.
Hii ni baada ya Chama hiko kuandikiwa barua ya kutakiwa kuwasilisha jina la wakala lakini hawakufanya hivyo.
Inavyoonekana jambo hilo limefanywa makusudi.
Katika uchaguzi huu ACT ime-Abuse demokrasia.
Hii ni baada ya Chama hiko kuandikiwa barua ya kutakiwa kuwasilisha jina la wakala lakini hawakufanya hivyo.
Inavyoonekana jambo hilo limefanywa makusudi.
Katika uchaguzi huu ACT ime-Abuse demokrasia.