Mgombea Umeya Arusha alalamika wapiga kura kutekwa

Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo.

Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.

Ametoa rai kwa CCM na Serikali kuwa Uchaguzi uachwe kuwa huru, na wagombea wasibebwe.

Katika uchaguzi huo Maximilian Ilangye, diwani wa kata ya Kaloleni alichaguliwa kwa kura 24 na kuibuka kuwa Meya wa jiji hilo. Aidha Isaya Doita diwani wa Kata ya Ngarenaro kupitia CHADEMA alipata kura mbili.

Huu wimbo 2a kutrka wqjumbe usha expire
 
Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo.

Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.

Ametoa rai kwa CCM na Serikali kuwa Uchaguzi uachwe kuwa huru, na wagombea wasibebwe.

Katika uchaguzi huo Maximilian Ilangye, diwani wa kata ya Kaloleni alichaguliwa kwa kura 24 na kuibuka kuwa Meya wa jiji hilo. Aidha Isaya Doita diwani wa Kata ya Ngarenaro kupitia CHADEMA alipata kura mbili.


CCM wamezoea kuteka na kutesa sasa wameanza kutekana wenyewe
 
Kwamba waache uchaguzi uwe huru?
Umechanganyikiwa wewe. Uharamia huu ndio umekufanya wewe uwe mbunge halafu leo unataka fair???
Kulaneni, tekaneni,uaneni mmalizane
 
Kwamba waache uchaguzi uwe huru?
Umechanganyikiwa wewe. Uharamia huu ndio umekufanya wewe uwe mbunge halafu leo unataka fair???
Kulaneni, tekaneni,uaneni mmalizane
Wamezoea kuteka wapinzani sasa hawapo wanatekana wenyewe. Shame on them
 
Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo.

Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.

Ametoa rai kwa CCM na Serikali kuwa Uchaguzi uachwe kuwa huru, na wagombea wasibebwe.

Katika uchaguzi huo Maximilian Ilangye, diwani wa kata ya Kaloleni alichaguliwa kwa kura 24 na kuibuka kuwa Meya wa jiji hilo. Aidha Isaya Doita diwani wa Kata ya Ngarenaro kupitia CHADEMA alipata kura mbili.


unaweza kucheka na ukavunjika mbavu.kwa hiyo sasa rafu imekua utamaduni wetu
 
Y
Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo.

Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.

Ametoa rai kwa CCM na Serikali kuwa Uchaguzi uachwe kuwa huru, na wagombea wasibebwe.

Katika uchaguzi huo Maximilian Ilangye, diwani wa kata ya Kaloleni alichaguliwa kwa kura 24 na kuibuka kuwa Meya wa jiji hilo. Aidha Isaya Doita diwani wa Kata ya Ngarenaro kupitia CHADEMA alipata kura mbili.

yeye mgombea alikuwa na mawasiliano ya nini na wapiga kura na kwa nini alikuwa na mawasiliano nao hadi dakika za mwisho kipindi cha kwenda kupiga kura? ama anataka kutuhakikishia kwamba hawa waliotekwa alikuwa ashafanya maongezi nao kwa kuwaahidi chochote endapo wangempigia? na kama ndo hivyo akubali basi kwamba wenzake walimzidi na wakamdhibiti mapema kwa kuwateka waliokuwa wanaenda kuhujumu ama kupiga kura za upendeleo kwa sababu ya posho/rushwa walizokuwa wameahidiwa hivyo namshauri akae kimya maana amewahiwa.​
 
Diwani wa kata ya Daraja Mbili kupitia CCM, Prosper Msofe ambaye aligombea Umeya wa jiji la Arusha na kupata kura 9 amelalamikia yaliyotendeka katika uchaguzi huo.

Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.

Ametoa rai kwa CCM na Serikali kuwa Uchaguzi uachwe kuwa huru, na wagombea wasibebwe.

Katika uchaguzi huo Maximilian Ilangye, diwani wa kata ya Kaloleni alichaguliwa kwa kura 24 na kuibuka kuwa Meya wa jiji hilo. Aidha Isaya Doita diwani wa Kata ya Ngarenaro kupitia CHADEMA alipata kura mbili.

Makapi hawatakiwi ccm huyo msofe atulize kijambio chake
 
...Msofe amelalamikia wapiga kura kutekwa na kuwekwa kwenye ‘bar’ ambao pia walikatiwa mawasiliano naye. Amesema viongozi kuingilia uchaguzi unanyima haki za msingi za wananchi.
Duuh.. yaani huyo Msofe bado tu hajajua MKAKATI wa ushindi wa chama chake?!!!

Afu wamezidi kuongeza ubunifu. Badala ya kuteka mgombea, sasa wapiga kura wanatekwa!!!

Mi5 Tena!
 
Matokeo ya push up ,yanaonekana hayachagui upande wowote,ni kuisoma namba tu
 
Back
Top Bottom