Mgombea udiwani wa kata ya Endasaki,Wilayani Hanang,Mohamed Tandu amehama chama chake na kuhamia CCM. Jambo hilo linamfanya mgombea wa CCM kupita bila kupingwa.
Source: Mwananchi,16.09.2010,ukurasa wa 8.
Maoni: Chadema msikurupuke kupata wagombea,kama nina kumbukumbu sahihi huyu ni mtu wa 3 ambaye ana impact kwa chama tangu kampeni zianze.
Source: Mwananchi,16.09.2010,ukurasa wa 8.
Maoni: Chadema msikurupuke kupata wagombea,kama nina kumbukumbu sahihi huyu ni mtu wa 3 ambaye ana impact kwa chama tangu kampeni zianze.