Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Ndio maana jamaa wa magamba amejuja kumwaga povu hapa et wanachezewa rafu na CDM
...punguza au acha kabisa NZAGAMBA na KONYAGI-MWITU...Wananchi wa kirumba ndo wanajua wamchague nani kuwa diwani wao lakini ni kwamba CDM waache kudanganya wananchi wa kirumba na tz kwa jumla bt why KIWIA amemtukana mpiga kura wake wa kirumba jana usiku na amepigwa makofi jana usiku hajasema? ndo aje aseme uongo kuhusu mgombea UDIWANI wa CCM kata ya kirumba? pls, plse CDM si watu wazuri jamani tuwaogope kama ukoma.
...mtu asiyemjali mama yake mzazi,atawafanyia nini cha maana wana-Kirumba?...haya masamaki yako tutayachana-chana na kuyewekea chumvi ili yawe kayabo tarehe 1/4/2012...jamani ee tuspotoshwe na watu wasiotaka maendeleo hizi tuhuma si za kweli hata kidogo,ndo maana hata alie positi hii habari hakuweza kuikamilisha kwa undani,hii inatokana na siasa majitaka ambazo ni za kumchafua mtu, mgombea udiwani wa ccm kata ya kirumba bw.jackson masamaki hayuko mbaroni na hajafanya kitendo hicho.Kwaiyo ndugu zanguni tuweni waungwana katika kipindi hiki cha kampeni tusiposti kitu kwa mapenzi ya mioyo yetu bali tupositi ukweli.