BY MATAPISHI
Ndugu zangu nawaomba sana tuwe wakweli mbele za mungu na nafsi zetu wenyewe, tusipende kuwa waongo na kuundanganya umma/ wananchi , ndugu Jackson Robert ( masamaki) hajakamatwa popote yupo mjini na anajipanga kwa kampeni leo kama kawaida lakini watu ( CHADEMA) wamekosa kazi ya kufanya ndo maana wanaanza kumchafua bila sababu ya msingi,nawaomba sana MFANO Mbunge wa ILEMELA acha siasa za uswahilini kwanza wewe ulishinda kwa bahati tu ( upepo ulikupitia) na mjue siasa za matusi, matope, uzushi zimepitwa na wakati why msiwambie wananchi ukweli ulivyo kuwa jack hajakamatwa? WANANCHI WOTE WAPENDA AMANI NA MAENDELEO YA KIRUMBA UKWELI NI KWAMBA JACKSON ROBERT NDO ANAFAA KUWA DIWANI WA KATA YA KIRUMBA NA SI MTU YEYOTE. OGOPENI SANA WATU WAONGO NA WANAODANGANYA UMMA/ WANANCHI KWA UJUMLA.
Source:Mwandishi wetu mwanza
Ndugu zangu nawaomba sana tuwe wakweli mbele za mungu na nafsi zetu wenyewe, tusipende kuwa waongo na kuundanganya umma/ wananchi , ndugu Jackson Robert ( masamaki) hajakamatwa popote yupo mjini na anajipanga kwa kampeni leo kama kawaida lakini watu ( CHADEMA) wamekosa kazi ya kufanya ndo maana wanaanza kumchafua bila sababu ya msingi,nawaomba sana MFANO Mbunge wa ILEMELA acha siasa za uswahilini kwanza wewe ulishinda kwa bahati tu ( upepo ulikupitia) na mjue siasa za matusi, matope, uzushi zimepitwa na wakati why msiwambie wananchi ukweli ulivyo kuwa jack hajakamatwa? WANANCHI WOTE WAPENDA AMANI NA MAENDELEO YA KIRUMBA UKWELI NI KWAMBA JACKSON ROBERT NDO ANAFAA KUWA DIWANI WA KATA YA KIRUMBA NA SI MTU YEYOTE. OGOPENI SANA WATU WAONGO NA WANAODANGANYA UMMA/ WANANCHI KWA UJUMLA.
Source:Mwandishi wetu mwanza