Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 286
Mwizi aseme kaiba nini?mbona CHENGE,LOWASSA,NGELEJA,MKULO wapo bungeni na ni wizi wanaotambulika na dunia nzima.
mijitu ya,chadema kwa kutetea ata upuuzi hawajambo,baba yake mwenyewe kasema mwanae ni mwizi wewe unabisha