Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Mgombea udiwani kata ya daraja mbili CHADEMA Kamanda Prosper Msofe amekamatwa na polisi jioni hii.Amekamatwa baada ya Kada mmoja wa CCM kudai kuwa mgombea amemzuia kufanya kazi.
Ilikuwa hivi:
Mgombea wa CHADEMA alikuwa anaongea na wapiga kura wake, mara akatokea jamaa wa CCM na kuanza kuporomosha matusi, kisha akawapigia simu polisi kuwa anafanyiwa fujo, baada ya polisi kufika wakamchukua na kumpeleka kituoni, na sasa yupo ndani Lock up hadi kesho,
Ilikuwa hivi:
Mgombea wa CHADEMA alikuwa anaongea na wapiga kura wake, mara akatokea jamaa wa CCM na kuanza kuporomosha matusi, kisha akawapigia simu polisi kuwa anafanyiwa fujo, baada ya polisi kufika wakamchukua na kumpeleka kituoni, na sasa yupo ndani Lock up hadi kesho,