calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
Habari zilizothibitishwa na wafuatiliaji wa duru za siasa jijini Arusha zimebaini kuwa Ndg. Rayson E. Ngowi ambaye ni mgombea udiwan kata ya kimandolu, Arusha, kwa tiketi ya CHADEMA hayupo kwai daftar la wapiga kura kwa kata hyo. Ngowi mwenye kitambulisho namba 13214796 alijiandikisha mnamo tar 10 machi 2005, wilayani Rombo, mkoan Kilimanjaro.
Amepigiwa simu mara kadhaa kuthibitisha madai hayo ila hakutoa ushirikiano na amekuwa akitoa jibu moja tu "haikuhusu". Kazi kwenu wakazi wa kimandolu
Amepigiwa simu mara kadhaa kuthibitisha madai hayo ila hakutoa ushirikiano na amekuwa akitoa jibu moja tu "haikuhusu". Kazi kwenu wakazi wa kimandolu