Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Nasikia Meko anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!
Hili lilipaswa kuwapa somo kama chama; sioni kama kuna kitu mlijifunza...Lowassa angetikisa zaidi kama angekuwa ana afya nzuri.
..pia nadhani alikuwa anapoteza kura na imani kadiri muda wa kampeni ulivyokuwa ukisonga mbele.
Kamanda Lisu ana % ngapi kama yeye?!lowasa ana 18% ya wpiga kura yeye kama yeye
Membe atarudi CCM mapema zaidi ya mnavyofikiri. Hawezi mikikimikiki ya “kusumbuliwa” na kuulizwa asset hii na ile pale uliipataje.
Huyu Jasusi amefail vibaya sana na inaonekana hata ACT wenyewe walishagundua huyu ni liability tu
Wabongo wanacheza na tune ya Music. Vinyonga.Wabongo wanafki sana, si ndio huyu mlisema ni kiboko ya magufi. Mara ooh jasusi mbobezi, mara kasema akiguswa ananuka
Kiukweli Membe kawaangusha sana ACT Wazalendo, pongezi kwa CHADEMA kwa kumgundua mapema. Ona sasa imebidi Zitto Kabwe ndiye awe mhimili wa chama kwa upande wa bara. Membe haonekani popote kumnadi mgombea yeyote wa ACT au hata kwenye vyombo vya habari. Huu ni zaidi ya usaliti.
View attachment 1590198
Ndiyo maana mm namuaminia sana Hashimu Rungwe kwa misimamo yakeWabongo wanafki sana, si ndio huyu mlisema ni kiboko ya magufi. Mara ooh jasusi mbobezi, mara kasema akiguswa ananuka
Wewe mjinga sana, Membe kachezewa Danadana na Maalim na Zitto, alafu mutegemee awaunge mkono na awape pesa za kufanyia campaign.Hawa wagombea wachanga kama huyu wa Kigamboni waliingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge huku wakiamini fika kuwa ujio wa Membe ndani ya ACT Wazalendo ungekuwa mkombozi kwao na walitarajia angewainua vilivyo.
Membe hata alipokuwa Pemba na Unguja pamoja na Maalim alishindwa kabisa kutumia jukwaa lake vilivyo, mbaya zaidi Membe alishindwa kabisa kutumia ujasusi wake kuweka mgombea ubunge ndani ya jimbo analotoka.
Ilitegemewa kutokana na uzoefu wa Membe basi mgombea huyo angepita kama anateleza tu. Matokeo yake mgombea wa Chadema ndiye alionekana tishio dhidi ya Nape Nnauye wa CCM. Membe alishindwa kabisa kuhakikisha kuwa jimboni kwake anaweka mizizi.
Kiukweli Membe kawaangusha sana ACT Wazalendo, pongezi kwa CHADEMA kwa kumgundua mapema. Ona sasa imebidi Zitto Kabwe ndiye awe mhimili wa chama kwa upande wa bara. Membe haonekani popote kumnadi mgombea yeyote wa ACT au hata kwenye vyombo vya habari. Huu ni zaidi ya usaliti.
View attachment 1590198