Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 870
Chombo kinalipa
Nina mashaka na picha haiwezekan kutovaa kilembaMuangalie huyo mgombea Ubunge wa makunduchi,kule mkoa wa kaskazini unguja,halafu weka commenty
View attachment 1776932
Mama ana macheni kama Mbongo flavour.Mama kapiga Gold mbili shingoni hapo...
Alikiwa hajaanza kuvaa...baada ya kuingia kwenye siasa ndio akaambiwa aanze kujitanda. Mwenyewe anasema alikuwa hata hawezi kuvaa zinaanguka.kwani hijabu apo alipeleka wapi
Eeh ndio ujana bana...mama yetu yuko njema banaMama ana macheni kama Mbongo flavour.
Mungu anajua sana kutupoza machungu sisi tuliotaabika galilayaMuangalie huyo mgombea Ubunge wa makunduchi,kule mkoa wa kaskazini unguja,halafu weka commenty
View attachment 1776932
Sahihisho kidogo tu Makunduchi ni KusiniMuangalie huyo mgombea Ubunge wa makunduchi,kule mkoa wa kaskazini unguja,halafu weka commenty
View attachment 1776932
Ushungi alianza kujifunga baadae sana, kuna picha moja niliiona yupo na waziri wa afya wa sasa Dk. Gwajima akiwa hana kiremba pia.Nina mashaka na picha haiwezekan kutovaa kilemba
Au nasema uongo ndugu zanguuuasante Mungu kwa kutupatia mama, tuna amani hatufokewi
Muangalie huyo mgombea Ubunge wa makunduchi,kule mkoa wa kaskazini unguja,halafu weka commenty
View attachment 1776932
Macho tuMuangalie huyo mgombea Ubunge wa makunduchi,kule mkoa wa kaskazini unguja,halafu weka commenty
View attachment 1776932