Huu muda uliobaki wasitegemee majukwaa ni mwende wa nyumba kwa nyumba na masokoni, stand, na hata siku za vikundi vya kina mama wawaulize wake zao waende kuomba kura kimya kimya, na wale wa vijijini hata visimani na mabombani mbona njia ziko nyingi bila hata mkutano wa hadhara kama wa mgombea mwenye kibali.