Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,082
Kibs... hivi anko wako akizidi kukutusi, kukuchokoa na kukudharau nyumbani kwako utamuangalia tu??.... eniwei sisemi sana lakini nijuavyo mimi ni kwamba Lema ni style ya Mbowe, they can not hold back once excited, he needs to get super back up otherwise kesi itaisha in 5 days na yeye atafungwa; Lowassa ana nguvu sana and Lema should have known better
I see!! lakini kila penye mwanzo lazima pana mwisho.... iko siku yake huyo EL na si mbali sana.