Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Jethro hata akiamia huko hao wameru watamkubali kweli au ndo atakosa bara na pwani:nono:
Jamaaa EL/RA mie hawa jamaaa siwapi shavu kwani ni pesa ndio inawaweka juu wajuwa kama wewe ni mwana mapinduzi siku zote utasimama utasema ile kweli kwa jamii.
Kwani EL ni mtu wakulazimisha kuhusudiwa ni ile hali ya yeye kutaka kujitakasa kwa watanzania kumwonyesha Mwl.Nyerere kuwa alimtabilia vibaya lakini kama ulisha chafua na wananchi hawajataka kukusafisha basi hutosafishika bali wachache ndio watako kuunga mkono