Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Lkn si waliambiwa kabla ya uchaguzi kua sheria ya utumishi haiwaruhusu kugombea na wakigombea watafukuzwa kazi? Sijaona kosa mie hapo.
Meya wa Kinondoni-Dar ambaye ni diwani kupitia chama cha CCM bado ni mtumishi tena afisa wa ngazi za kati wa TRA