Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kuna wale waliomwita Matiko Malaya,wala hawajafungiwa!Walitangaza mapema kupitia vyombo vya habari kwamba mtu akitoa kashfa na matusi jukwaani (badala ya sera) ambayo hayana ushahidi, adhabu mojawapo ni kufungiwa kufanya kampeni kwa siku kadhaa
Labda tujue ni sababu zipi zimetolewa na NEC mpaka wao kufikia uamuzi wa kuwafungia hawa?