johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Mtangazaji wa michezo TBC ambaye anagombea ubunge jimbo la Rungwe mkoani Mbeya amekanusha taarifa zinazoenea kwamba amepata ajali mbaya.
Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki.
Source Swahili Times
Rip dereva wa Bwigane.
Maendeleo hayana vyama
Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki.
Source Swahili Times
Rip dereva wa Bwigane.
Maendeleo hayana vyama