Mgombea ubunge Rungwe kwa tiketi ya CCM Enock Bwigane wa TBC amekanusha kupata ajali

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,616
141,447
Mtangazaji wa michezo TBC ambaye anagombea ubunge jimbo la Rungwe mkoani Mbeya amekanusha taarifa zinazoenea kwamba amepata ajali mbaya.

Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki.
Source Swahili Times

Rip dereva wa Bwigane.

Maendeleo hayana vyama
 
Mtangazaji wa michezo TBC ambaye anagombea ubunge jimbo la Rungwe mkoani Mbeya amekanusha taarifa zinazoenea kwamba amepata ajali mbaya.

Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki.
Source Swahili Times

Rip dereva wa Bwigane.

Maendeleo hayana vyama
Kaanza na kafara, CCM ni janga
 
Back
Top Bottom