johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,662
Aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Kinondoni Rajab Salum amesema kwa siasa alizozishuhudia katika uchaguzi huo ni heri vyama vya upinzani vikafutwa na ikabakia CCM pekee.
Rajab anasema anaunga mkono ongezeko la ukusanyaji wa mapato ya serikali linalowezeshwa na awamu hii ya 5 lakini haungi mkono kodi hizo kuteketezwa kwenye mambo ya siasa.
Chanzo: Star Tv tuongee asubuhi majadiliano
Rajab anasema anaunga mkono ongezeko la ukusanyaji wa mapato ya serikali linalowezeshwa na awamu hii ya 5 lakini haungi mkono kodi hizo kuteketezwa kwenye mambo ya siasa.
Chanzo: Star Tv tuongee asubuhi majadiliano