yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Mgombea ubunge katika mkoa wa Kilimanjaro ameahidi kuweka bonge la pazia ili watu wa nchi jirani wanaopiga pesa kupitia mlima huo waambulie patupu.
====
Moja ya stori itakayokuacha hoi ni ya Mgombea Ubunge katika Jimbo la Moshi Mjini Omary Mwariko ameahidi kushawishi utengenezaji wa noti ya shilingi elfu hamsini ya Rais Magufuli kama zawadi kwa mambo makubwa aliyofanya.
Mbali na hilo Mwariko amesema atashauri kubadilishwa kwa jina la Mji wa Moshi na kuweka pazia Mlima Kilimanjaro, huku akipendekeza Wizara inayohusika na masuala ya sanaa kuruhusu kuruka na ungo.
====
Moja ya stori itakayokuacha hoi ni ya Mgombea Ubunge katika Jimbo la Moshi Mjini Omary Mwariko ameahidi kushawishi utengenezaji wa noti ya shilingi elfu hamsini ya Rais Magufuli kama zawadi kwa mambo makubwa aliyofanya.
Mbali na hilo Mwariko amesema atashauri kubadilishwa kwa jina la Mji wa Moshi na kuweka pazia Mlima Kilimanjaro, huku akipendekeza Wizara inayohusika na masuala ya sanaa kuruhusu kuruka na ungo.