Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 766
- 1,954
Mgombea Ubunge Jimbo la Madaba mkoani Ruvuma kupitia NCCR-Mageuzi, Ugin Mkinga amejitoa kwenye kinyang'anyiro Amesema amefikia uamuzi huo ili aongeze nguvu kwenye Chama cha Mapinduzi (CCM) kwani mambo anayoyataka ndiyo ambayo Rais Dkt. Magufuli JP amekuwa akiyafanya.
Chanzo: Swahili times
Chanzo: Swahili times