Mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM, Said Mtulia aibua mazito

wandamba

JF-Expert Member
Apr 29, 2014
510
839
*YALIYOSEMWA NA MGOMBEA UBUNGE (CCM) KINONDONI MHE. MTULIA KATA YA MAGOMENI TAR. 08FEB*

"Wakati nilipokuwa Mbunge wa upinzani nilikuwa nashirikiana na Wenyeviti wa Serikali za mitaa wa CCM kupambana kutatua tatizo la mafuriko" - Mtulia

"Nilijitahidi sana lakini ukiwa kiongozi upinzani hauwezi kuwaletea maendeleo Wananchi. Ndio maana nimejiondoa upinzani ili niwaokoe Wakazi wa Kinondoni" - Mtulia

"Wale mlioko upinzani tokeni huko maana hakuna vyama kule, ni uongo mtupu. Njooni mjiunge na CCM" - Mtulia

"Sasa nina uhakika wa kuwatumikia vyema kwa sababu nitafanya kazi kwa muongozo wa ilani ya uchaguzi ya CCM inayoongoza dola" - Mtulia

"Agenda kubwa ninayoibeba ni kuhakikisha Kinondoni inakuwa jimbo la mfano la kimaendeleo mkoa wa Dar es Salaam" - Mtulia

"Nitahakikisha barabara zinajengwa, makazi yanapangwa, mifereji inachimbwa" - Mtulia

"Rais Magufuli nampenda kwa sababu ameonyesha dira ya kupambana na tatizo la ajira nchini, kujenga viwanda, kujenga reli ya kisasa, kujenga Maghorofa ya kisasa Magomeni, kuboresha upatikanaji wa umeme" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitahakikisha Wanawake na Vijana wanapata mikopo ya asilimia 10 toka Manispaa" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitashirikiana na Mkuu wa Wilaya Salum Hapi Mchapakazi kuhakikisha tunawatambua Vijana wanaojishughulisha na bodaboda, wapewe namba za utambulisho na wasiokuwa na bodaboda wakopeshwe bodaboda" - Mtulia

"Sijawasahau akina Mama nao pia nitahakikisha wanakopeshwa mikopo nafuu ya ujasiliamali." - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitafikisha ombi kwa Rais Magufuli wale waliobomolewa mabondeni wapewe makazi kwenye maghorofa mapya yanayojengwa Magomeni" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitahakikisha ujenzi wa soko la Magomeni unaanza mara moja kwani Pesa Tsh. Bilioni 3.5 zipo tayari kwa kazi hiyo" - Mtulia

"Pesa Tsh. Bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Mto Ng'ombe. Nichagueni nikashirikiane na Serikali ya CCM kuhakikisha ujenzi huu unafanyika kiukamilifu." - Mtulia

"Naombeni sana Februari 17 muwahi vituoni mkanipigie kura za ndiyo niwe Mbunge wa jimbo la Kinondoni. Niazimeni imani niwalipe maendeleo, nipo tayari kuwatumikia" - Mtulia
FB_IMG_1518106569453.jpg
FB_IMG_1518106578713.jpg
FB_IMG_1518106574598.jpg
FB_IMG_1518106583889.jpg
FB_IMG_1518106601229.jpg
 
*YALIYOSEMWA NA MGOMBEA UBUNGE (CCM) KINONDONI MHE. MTULIA KATA YA MAGOMENI TAR. 08FEB*

"Wakati nilipokuwa Mbunge wa upinzani nilikuwa nashirikiana na Wenyeviti wa Serikali za mitaa wa CCM kupambana kutatua tatizo la mafuriko" - Mtulia

"Nilijitahidi sana lakini ukiwa kiongozi upinzani hauwezi kuwaletea maendeleo Wananchi. Ndio maana nimejiondoa upinzani ili niwaokoe Wakazi wa Kinondoni" - Mtulia

"Wale mlioko upinzani tokeni huko maana hakuna vyama kule, ni uongo mtupu. Njooni mjiunge na CCM" - Mtulia

"Sasa nina uhakika wa kuwatumikia vyema kwa sababu nitafanya kazi kwa muongozo wa ilani ya uchaguzi ya CCM inayoongoza dola" - Mtulia

"Agenda kubwa ninayoibeba ni kuhakikisha Kinondoni inakuwa jimbo la mfano la kimaendeleo mkoa wa Dar es Salaam" - Mtulia

"Nitahakikisha barabara zinajengwa, makazi yanapangwa, mifereji inachimbwa" - Mtulia

"Rais Magufuli nampenda kwa sababu ameonyesha dira ya kupambana na tatizo la ajira nchini, kujenga viwanda, kujenga reli ya kisasa, kujenga Maghorofa ya kisasa Magomeni, kuboresha upatikanaji wa umeme" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitahakikisha Wanawake na Vijana wanapata mikopo ya asilimia 10 toka Manispaa" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitashirikiana na Mkuu wa Wilaya Salum Hapi Mchapakazi kuhakikisha tunawatambua Vijana wanaojishughulisha na bodaboda, wapewe namba za utambulisho na wasiokuwa na bodaboda wakopeshwe bodaboda" - Mtulia

"Sijawasahau akina Mama nao pia nitahakikisha wanakopeshwa mikopo nafuu ya ujasiliamali." - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitafikisha ombi kwa Rais Magufuli wale waliobomolewa mabondeni wapewe makazi kwenye maghorofa mapya yanayojengwa Magomeni" - Mtulia

"Nikiwa Mbunge nitahakikisha ujenzi wa soko la Magomeni unaanza mara moja kwani Pesa Tsh. Bilioni 3.5 zipo tayari kwa kazi hiyo" - Mtulia

"Pesa Tsh. Bilioni 600 zimetengwa kwa ajili ya ujenzi wa Mto Ng'ombe. Nichagueni nikashirikiane na Serikali ya CCM kuhakikisha ujenzi huu unafanyika kiukamilifu." - Mtulia

"Naombeni sana Februari 17 muwahi vituoni mkanipigie kura za ndiyo niwe Mbunge wa jimbo la Kinondoni. Niazimeni imani niwalipe maendeleo, nipo tayari kuwatumikia" - MtuliaView attachment 692674View attachment 692675View attachment 692676View attachment 692677View attachment 692678
Umesahau, atahakikisha kila mtaa unapata flyover yake kama alivyoahidi JPM 1015
 
Mazito labda mavi yake.....mbwa kabisa huyu asa apo kaongea nn cha maana. Yy kwa umbumbumbu wake hajui ccm ipo madarakani zaidi ya miaka 50 na mida wote ccm ndo walikuwa wanatawala dar yote.....ukiwa ccm akili zinakuruka kabisaa....
Wadangamye watumwa wenzio wanaofanyiwa biashara ya utumwa kwa nlkununuliwa na mkoloni mweusi ccm
 
Back
Top Bottom