CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
HABARI Mgombea Ubunge Jimbo la Ilala kupitia CUF, mhe. Rashid Mwinyishehe Ilala amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ilala
Kingwendu anafaa kuwa Mweyekiti wa CUF Taifa.
Kingwendu anafaa kuwa Mweyekiti wa CUF Taifa.
Kingwendu anataka kumtapeli Zungu.......hahahaaaa siasa ni biashara bwashee!Kingwendu anafaa kuwa Mweyekiti wa CUF Taifa.
Hahahaaaa........ Nimejikuta nacheka baada ya kurudia kuwaangalia!Yaani hata kama umenuna ukiwaagalia tu hao Wapambe wake ambao nao ni 'Makomedi' hasa utabaki Kuvunjika Mbavu tu. Nitamfuatilia ili nicheke.
haha ushaanza kumuonea wivu Mwenyekti mtarajiwa wa CUF.Kingwendu anataka kumtapeli Zungu.......hahahaaaa siasa ni biashara bwashee!
Ndiyo hapa ni ushindi asubuhi Kabla Jogoo hajawikaAmepita huyo, asubuhi mapema
Hahahaaaa........ Nimejikuta nacheka baada ya kurudia kuwaangalia!
Mzee wa Henyu henyu! Kwa raha zake!Kingwendu anafaa kuwa Mweyekiti wa CUF Taifa.
Ingependeza sanaMi nadhani kingwendu angekua kile chama Cha kugawa ubwabwa
Labda amepita sebuleni kwakeNdiyo hapa ni ushindi asubuhi Kabla Jogoo hajawika