Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Katika hali isiyokuwa ya kawaida aliyekua mbunge jimbo la Singida Magharibi ndugu Elibariki Kingu alishawishi kamati ya siasa ya Wilaya kuwakata majina wale wote waliotia nia ya kugombea udiwani CCM wasio muunga mkono yeye.
Sasa watia nia hawa wa udiwani wanasubiri majina yao yakatwe watinge Dodoma kuilalamikia kamati ya siasa ya Wilaya pamoja na ya mkoa na kuzishtaki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashir Ally pamoja na Mwenyekiti wa Chama Taifa Dkt. John Pombe Magufuli.
Najaribu kuwaza kwa mbali, kwanini huyu aliyekua mbunge amekua katili kiasi hicho kwa wenzake?
Tazama video hiki.
Sasa watia nia hawa wa udiwani wanasubiri majina yao yakatwe watinge Dodoma kuilalamikia kamati ya siasa ya Wilaya pamoja na ya mkoa na kuzishtaki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashir Ally pamoja na Mwenyekiti wa Chama Taifa Dkt. John Pombe Magufuli.
Najaribu kuwaza kwa mbali, kwanini huyu aliyekua mbunge amekua katili kiasi hicho kwa wenzake?
Tazama video hiki.